ZE NDINDINDI
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 1,885
- 4,012
umbeya lakini si kweli?????atleast mmekarabati banaAcha umbeya mtoto wa kiume.
Vitoto vya Manara vimekuwa vimbeya.
Dah iyo ndio nyumba ya Chirwa kweli Yanga maisha magumu
Mtoa post anazingua ,si kweliDuh kumbe mpira haulip hiyo ndo nyumba ya star wa ligi kuu?
Si kweli Chirwa anakaa Gorofani Shekilango Kota zile za NHC ukitaka uhakika uliza Shilawadu walishamtembelea iyo picha ni Photoshop tu.Baada ya juzi kuwafunga azam, Obrey Chirwa amekumbukwa na uongozi wa Yanga sc ulioamua kupiga plaster nyumba ya vyumba viwili waliyompangia maeneo ya Tandale Mtogole jambo amabalo limemfurahisha mchezaji huyo wa kimataifa kutoka Zambia hadi akaamua kupiga picha na ku upload hali iliyozua shangwe kwa mashabiki wa yanga waliofurahishwa na utu huo wa viongozi wao.
Hongera sana katibu Boniface MkwasaView attachment 686947
Achana na Mikia FC.............Si kweli Chirwa anakaa Gorofani Shekilango Kota zile za NHC ukitaka uhakika uliza Shilawadu walishamtembelea iyo picha ni Photoshop tu.