YANGA yakasirishwa na SIMBA SC, kumsajili BM33, watoa tamko

Yanga walisha peleka mkataba wa Morrison TFF tena mkataba ambao Tff kupitia mtaalamu wao wa TMS wali uidhinisha maana TFF wanaye mtaalamu wa TMS. Yanga wakapeleka malalamiko juu ya mchezaji wao Benard Morrison kurubuniwa na Simba wakati anamkataba wa miaka miwili na wao Tff kimsingi walisha utambua.

Jambo la kushangaza wakati Tff bado hawajatoa maamuzi ya malalamiko ya Yanga, Simba wamemtangaza rasmi kwamba Benard Morrison ni mchezaji waliye msajili. Sasa wapenzi wa mpira tusubiri Tff watachukua uamuzigani juu ya swala hilo.

Endapo timu ikibainika imemrubuni mchezaji pasipo klabu yake kushirikishwa adhabu zake nikama ifuatavyo. Mchezaji atafungiwa miezi 4 au miezi 6.

Klabu iliyo fanya kosa Itapewa moja ya adhabu zifuatazo.

Onyo, fain, kushushwa madaraja mawili, kuzuiwa kufanya usajili. Kwasasa tunawasubiri Tff kwakua picha ndio linaanza.
 
Sasa unadhani Yanga tutashinda? Tiefu efu kuanzia Karia hadi gardener ni Simba
 
Hao wenyewe TFF aka Kichechefu ni Simba Damu .
 
Kaka Punguza jazba. Tatizo lenu Yanga mliahadaika na kukubali kukabidhi timu yenu kwa wauza jersey na matapeli maarufu hapa mjini .Simba wapo makini mno "Mwamwedi" hajawahi kuingizwa mkenge kirahisi hivyo subirini Jumatatu mpewe taarifa za usanii uliofanywa na hao matapeli wenu maarufu hapa mjini (Wazee wa Forgery). Na inawezekana wakafungiwa kudhamini Club yenu wasipojiangalia.
 
Hivi simba wamemtangaza kwenye official page yao!?
 
Siku hizi barua hazina signatory?
Sio Lazima, kutokana na Aina ya taarifa maana YANGA wamechanganyikiwa, mbn hata Kifo cha Hayati mkapa hawakupiga wimbo wa taifa katika kutangaza msiba!
 
Sasa unadhani Yanga tutashinda? Tiefu efu kuanzia Karia hadi gardener ni Simba
Mkataba ukisha ingia /Kubali kwenye mfumo wa usajili wa kimataifa yaani TMS ina maana FA yaani chama cha mpira cha nchi husika kimetia baraka zake kwa ku uidhinisha kupitia mtaalamu wa FA husika. Sasa litakua jambo la kushangaza wao walio husika kwenye uo usajili kama chama kupinga jambo ambalo wao Tff wenyewe walili idhinisha.
 
Simba siyo wajinga wanajua a to z,Yanga na jiesiemu kuna sehemu watakuwa wamefail tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…