Yanga yamchakaza Jamhuri Kiwelu aka Julio

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,307
Reaction score
25,932
Kwa kipigo cha 8-0 walichopokea Coastal Union toka kwa Yanga,Julio hatawasahau Yanga. Ni kipigo chake pekee cha paka mwizi akiwa mchezaji na hata kocha. Ni kama Mourinho alivyopigwa 5 na Barcelona mara tu alipotua Real Madrid kama Kocha.

Yanga kama Ulaya vile
 
Hatariiii sana hiyo.Nasubiri kuona mahojiano yake na waandishi wa habari itakuwaje...Sijui atalia?
 
Hatariiii sana hiyo.Nasubiri kuona mahojiano yake na waandishi wa habari itakuwaje...Sijui atalia?

Leo atazima simu badala ya kuwapigia watangazaji wa Radio kama ilivyo kawaida yake.
 
Julio atajuta kuwatosa Mwadui
..
 
Hivi kuna timu ilishapigwa 8 - 0 toka ligi ianze au leo historia tena?
 
Kwani julio ni kocha basi?au anasafiriaga nyota za watu.Aliwahi kusafiria nyota ya marehemu mziray,kibadeni na mkwasa akajiona kocha.Huyu ni msimamizi wa mazoezi sio kocha.
 
Kilichotokea Leo kwenye mechi Kati ya Yanga Na Coastal Ni kielelezo tosha Soka letu litachukua miaka mingi Sana kufikia level za kimataifa!
Tanzania kushiriki AFCON Na WORLD Cup tutasikia kwenye radio Kama hayo ndo yanafanyika ktk mechi zetu
 
Kilichotokea Leo kwenye mechi Kati ya Yanga Na Coastal Ni kielelezo tosha Soka letu litachukua miaka mingi Sana kufikia level za kimataifa!
Tanzania kushiriki AFCON Na WORLD Cup tutasikia kwenye radio Kama hayo ndo yanafanyika ktk mechi zetu

Mbona Madrid kamtuliza mtu 9.
 
Kilichotokea Leo kwenye mechi Kati ya Yanga Na Coastal Ni kielelezo tosha Soka letu litachukua miaka mingi Sana kufikia level za kimataifa!
Tanzania kushiriki AFCON Na WORLD Cup tutasikia kwenye radio Kama hayo ndo yanafanyika ktk mechi zetu

hausomeki mkuu.funguka
 
Kwani hamjaona costal kamwaga kitu mithili ya damu wachezaji wakishuka wakanyage kuingia vyumbani??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…