Yanga yamchakaza Jamhuri Kiwelu aka Julio



SALUTE KIJANA ..ALAFU NIMEPENDA ULICHOFANYA JAMHURI KIWELO AKAJIFANYA ANAKUJA KUKUPA HONGERA UKAKIMBIA KABISA SAFI KIJANA WALE WANAKUMALIZA HATA KWA KUSHIKA MKONO SI UMEONA MACHO YALIVYOGEUKA MEKUNDU UNAHISI ANGEKUACHA

BIG UP SASA NAAMINI UMEANZA MPWA....
 
Si haba wazee wa kandambili kupongezana na pale kwenye kusahihishana ili timu isonge mbele

tumekuwa na matukio ya kukosa magoli mengi sana sana ..na hili limeonekana kwa ndugu yetu mdogo wetu mfungaji wa ligi mpaka sasa anaeongoza simon msuva

kijana anajitahidi kupita maelezo na laiti ngasa angekuwepo leo tungeandika mikono miwili

pamoja na yote haya nashauri simon kama huko hapa jifunze alichofanya tambwe leo

tambwe anafunga pale anapoona kuna nafasi ya kufunga ..apigi mpira just umeelekea golini

nini maanayake kama unakumbuka goli lako wewe kama sijakosea alikuwa golini kabisa lakini kwakuwa aliona umekaa sehemu nzuri akusita kutoa apasi ya kichwa

kama mchezaji jitahidini mcheze kwa ajili ya timu ufungaji wa magoli upo ..sio kila sehemu unapoona

kwasababu uko mbele unapiga mpira kuelekea golini...angalia uko nafasi gani..na kama ni ngumu

kufunga gaia na wenzako ..swala ni ushindi wa timu

shukrani za pekee zimwendeee kijana wangu amakuru nimeza kaka harunaaaaaa niyonzima

leo asiekuona basi akaone pepo usiku wa leo kijana umtufurahisha umetuonyesha kumbe

tuna weeza kumpa tano mdeni wa simba ...

Mwisho umoja ni nguvu utengano udhaifu pale penye kufunga basis fungeni pale mnapoona mmebanwa

msilazimishe kupiga mipira toeni pasi tushinde kwa ajili ya timu

big up

sm
 
Hivi kuua chawa kwa rungu nayo sifa??? Mpwa Pdidy mwindaji hasifiwi kuua mzoga kwakuwa ushakufa

Ukirudi nyumbani na mzoga wa ngiripori ambao hauvuji hata damu familia na majirani watacheka kimyakimya
 
Last edited by a moderator:
Pdidy katika ubora wake, akhsante Yanga, nimefurahi sana leo
shida hawa wenzetu sijui walipiga ugali na kipande cha papa
 
Last edited by a moderator:
Kilichotokea Leo kwenye mechi Kati ya Yanga Na Coastal Ni kielelezo tosha Soka letu litachukua miaka mingi Sana kufikia level za kimataifa!
Tanzania kushiriki AFCON Na WORLD Cup tutasikia kwenye radio Kama hayo ndo yanafanyika ktk mechi zetu

Mbona Arsenal aliwahi pigwa nane na Man u?
 
wachezaji wa Coastal hawampendi julio, wamefanya makusudi baada ya kocha wao mkenya kuondoka sababu ya julio
 
Hivi kuua chawa kwa rungu nayo sifa??? Mpwa Pdidy mwindaji hasifiwi kuua mzoga kwakuwa ushakufa

Ukirudi nyumbani na mzoga wa ngiripori ambao hauvuji hata damu familia na majirani watacheka kimyakimya

Du kumbe wewe simbaaaaa nilidhani Mshana Jr...
 
Last edited by a moderator:
Pdidy katika ubora wake, akhsante Yanga, nimefurahi sana leo
shida hawa wenzetu sijui walipiga ugali na kipande cha papa

Leo huku nitagombana na wengi, hivi kweli unaweza kumpiganisha matumla na Tyson halafu umsifu Tyson kwa ngumi mahiri!?
 
Last edited by a moderator:
Hii nimeikuta sehemu aise.
Yani magori aliyopigwa coastal union ni sawa na tar ya leo"8" na magoli aliyofunga TAMBWE leo ni sawa na mwezi huu "4"

So ni tar COASTAL8-mwezi TAMBWE4-2015!!!
 



huujui mpira wew kalale tu naona umeshaharibiwa siku yako hiyo Ndio YANGA bhana..vip kuhusu buyern munich, real madrid, barcelona man u, Sio ajabu kwao kumpiga mtu bao nane ama tisa itakuwa coastal?
 
Hahahaaa,watu wana vituko sana!
 
Taratibu jamani mtawaua mkia...
 
Duh leo wana simba wengi wanawaponda coastal utadhani wao wamewafunga Muhahahahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…