Yanga yamchakaza Jamhuri Kiwelu aka Julio

Presha inapanda,presha inashuka token uko mikia fc njoen kwenye raha uku kunaitwa.....




DAIMA MBELE NYUMA MWIKO
 
hivi north korea hawawez kutusaidia kuzipiga hizi timu mbili bomu la nyuklia zikapotea kabisa?
 
huujui mpira wew kalale tu naona umeshaharibiwa siku yako hiyo Ndio YANGA bhana..vip kuhusu buyern munich, real madrid, barcelona man u, Sio ajabu kwao kumpiga mtu bao nane ama tisa itakuwa coastal?
Mafanikio ya hizo team ktk ngazi ya kimataifa yanaeleweka ikiwemo uchukuaji WA vikombe vikubwa kabisa duniani, Ni ukosefu WA busara kuzifananisha Na Yanga
 
Brazil alipokojolewa saba moja mlidhani ni nini? Yanga imeifutia aibu brazil
 
Mkia mbona mmepanic sana...hahaha!!!
 
Ili utwae ubingwa inabidi ushinde mechi nyingi zaidi na ili uwe mfungaji bora inabidi ufunge magoli mengi zaidi. Yanga we funga tu akija mtu kucheza mechi amefunga vitambaa machoni we fanya kilichokupeleka uwanjani tena bila huruma. Well done Yanga.
 
Shabiki wa Simba analialia baada ya Yanga kutoa dozi,kombe lenu la mtani jembe ni mpaka mwezi November
 
Uwendawazimu umewaingia baadhi ya mashabiki wa MIKIA!
 
sio kweli. Brazili alikula7 tena kombe la dunia. Arsenal alikula8. Sembuse coastal union? Tena naskia kuna timu majuzi ilikula9 huko uhispaniola. Hizo hadithi2 tz mpira upo juu
 
Hivi kuua chawa kwa rungu nayo sifa??? Mpwa Pdidy mwindaji hasifiwi kuua mzoga kwakuwa ushakufa

Ukirudi nyumbani na mzoga wa ngiripori ambao hauvuji hata damu familia na majirani watacheka kimyakimya

unataka kuniambia coastal union ni mzoga au.
 
Last edited by a moderator:
Kila siki nawaambia humu yanga ni wachawi.!!
 
Mikia poleni sana, kwa taarifa tu 1998 kuna timu pia ilichezea 8 kutoka kwa Yanga, huku mchezaji bora kabisa kupata kutokea Tanzania Edibily Jonas Lunyamila akiziona nyavu mara 6.
 
Hii Thread imenifanya nimdharau Revocatus Kashanga. Sijui kala maharagwe ya wapi?
 
Kazoea kumnyanyasa Minziro sasa kakutana na Babu asiyemjua Julio wala Coastal Union yake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…