kishumbaz
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,183
- 1,619
club bingwa mtetezi yanga, imemnasa mganga wa kienyeji wa lipuli fc ambaye aliwasaidia kumbana mbavu mnyama katika mechi zote mbili.
Ikumbukwe kuwa mnyama hajamfunga lipuli katika mechi zote mbili msimu huu.
Habari za chini ya kapeti zinanyapua kuwa, mganga huyu lipuli walimtoa toka timu ya mtaan inaitwa mkimbizi fc. mganga huyo anasifika kwa utaalam wa kuwaloga wapinzan.
kila la heri mganga katika mkakati wako wa kumchinja mnyama### mshana## Gentlemycine### mzizi mkavu##
Ikumbukwe kuwa mnyama hajamfunga lipuli katika mechi zote mbili msimu huu.
Habari za chini ya kapeti zinanyapua kuwa, mganga huyu lipuli walimtoa toka timu ya mtaan inaitwa mkimbizi fc. mganga huyo anasifika kwa utaalam wa kuwaloga wapinzan.
kila la heri mganga katika mkakati wako wa kumchinja mnyama### mshana## Gentlemycine### mzizi mkavu##