club bingwa mtetezi yanga, imemnasa mganga wa kienyeji wa lipuli fc ambaye aliwasaidia kumbana mbavu mnyama katika mechi zote mbili.
Ikumbukwe kuwa mnyama hajamfunga lipuli katika mechi zote mbili msimu huu.
Habari za chini ya kapeti zinanyapua kuwa, mganga huyu lipuli walimtoa toka timu ya mtaan inaitwa mkimbizi fc. mganga huyo anasifika kwa utaalam wa kuwaloga wapinzan.
kila la heri mganga katika mkakati wako wa kumchinja mnyama### mshana## Gentlemycine### mzizi mkavu##
Vipaji vipo mkuu labda mfumo tuHahaha ndio utamu wa soka la bongo ulipo..kwa sababu uwanjani hamna kitu
Ukisikia game ya simba na yanga inavyopigwa promo halafu mwisho wa siku ukija kuangalia game yenyewe utachoka aiseeVipaji vipo mkuu labda mfumo tu
Toi ujinga wako hapa, Yanga hakunaga mambo y'a ulozi, hayo mambo mnayajua ninyi mikia fc mkiongozwa na bi Hindu, Genta n'a wengineo.club bingwa mtetezi yanga, imemnasa mganga wa kienyeji wa lipuli fc ambaye aliwasaidia kumbana mbavu mnyama katika mechi zote mbili.
Ikumbukwe kuwa mnyama hajamfunga lipuli katika mechi zote mbili msimu huu.
Habari za chini ya kapeti zinanyapua kuwa, mganga huyu lipuli walimtoa toka timu ya mtaan inaitwa mkimbizi fc. mganga huyo anasifika kwa utaalam wa kuwaloga wapinzan.
kila la heri mganga katika mkakati wako wa kumchinja mnyama### mshana## Gentlemycine### mzizi mkavu##
Yanga hawana hayo mambo ila ile timu ya wanafiki a.k.a simba