Anigrain
JF-Expert Member
- Nov 15, 2020
- 1,680
- 4,204
TETESI...! Inajulikana kuwa Simba walivutiwa sana na huduma ya huyu mchezaji mzambia kutoka katika club ya Zanaco, katika kipindi cha dirisha kubwa ila ikashindikana kutokana na idadi ya wachezaji kutimia
Wakajipanga kurudi tena katika dirisha hili dogo ila bahati mbaya Zanaco imefuzu hatua ya makundi shirikisho hivo kufuta matumaini ya Simba kumnunua phiri maana endapo kama watamnunua itabidi asitumike katika mashindano ya Shirikisho kama Sheria inavosema, Simba inataka kununua wachezaji wa kigeni Kwa ajili ya kuongeza nguvu Katika shirikisho
Inadaiwa kuwa Yanga ishamalizana na striker na kilichobaki ni kumalizana na uongozi wa club ya Zanaco na wamefkia hatua nzuri Kwa hiyo ni Jambo la muda tu Kwa Yanga kukamilisha usijili wa Mosses phiri
Kwa Yanga kumpata mchezaji huyu sio siri kwangu Mimi sasa rasmi nawaweka katika mbio za ubingwa maana wanaonekana wako serious na wamedhamiria Kweli msimu huu, jamaa ni fundi haswa ambae anaweza kucheza kama namba 9,10 lakini pia winger, Kwa ile striking force yao na kumuongeza huyu mwamba hapo sasa wamekamilika haswaaa
Wakajipanga kurudi tena katika dirisha hili dogo ila bahati mbaya Zanaco imefuzu hatua ya makundi shirikisho hivo kufuta matumaini ya Simba kumnunua phiri maana endapo kama watamnunua itabidi asitumike katika mashindano ya Shirikisho kama Sheria inavosema, Simba inataka kununua wachezaji wa kigeni Kwa ajili ya kuongeza nguvu Katika shirikisho
Inadaiwa kuwa Yanga ishamalizana na striker na kilichobaki ni kumalizana na uongozi wa club ya Zanaco na wamefkia hatua nzuri Kwa hiyo ni Jambo la muda tu Kwa Yanga kukamilisha usijili wa Mosses phiri
Kwa Yanga kumpata mchezaji huyu sio siri kwangu Mimi sasa rasmi nawaweka katika mbio za ubingwa maana wanaonekana wako serious na wamedhamiria Kweli msimu huu, jamaa ni fundi haswa ambae anaweza kucheza kama namba 9,10 lakini pia winger, Kwa ile striking force yao na kumuongeza huyu mwamba hapo sasa wamekamilika haswaaa