Sitaki kukujibu baadhi ya ujinga wako mwingine, ila kwa wachezaji waliopo Yanga hata ukimpa Julio ukocha ataleta matokeo mazuri.Hapo kwa Nabi umeongea utumbo m*v kabisa. Kuna kocha ambae kaleta taswira njema Yanga kuliko prof Nabbi?
Tunajua ww ni kolo unajificha kwenye kichaka cha Yanga.
Sitaki kukujibu baadhi ya ujinga wako mwingine, ila kwa wachezaji waliopo Yanga hata ukimpa Julio ukocha ataleta matokeo mazuri.
Wewe utakuwa umetoka kutumia chupa ya mirinda, miaka minne ile Yanga walikuwa hawana ufadhili wa kueleweka mpaka wakawa wanashindia matikiti maji? au wakati Mwinyi Zahera anatoa pesa zake kulipia club ndio angeteneza timu?Hicho kikosi unachosema kwa kocha yyte kinaweza leta matokeo amekitengeneza bibi yako? Misimu minne yanga imeshindwa kutengeneza kikosi imara huyu mzee kaja katengeneza kikosi imara na kabadili aina ya uchezi wa butuabutua leo hii unaleta uchawi wako na roho yako mbaya unasema eti Nabbi hafai. Subaamit, uharo mtupu humo kwenye kichwa.
Ni mchezaji gani wa Yanga wa sasa ambae usajili wake ni wa gharama kubwa ya kutisha kulinganisha na miaka ya nyuma?Wewe utakuwa umetoka kutumia chupa ya mirinda, miaka minne ile Yanga walikuwa hawana ufadhili wa kueleweka mpaka wakawa wanashindia matikiti maji? au wakati Mwinyi Zahera anatoa pesa zake kulipia club ndio angeteneza timu?
Vitu vingine tukubali kutumia akili tusiendeshwe na mihemko, Yanga mpya ilianza kujengwa msimu uliopita ndio maana hata ligi tuliongoza ligi kwa kipindi kirefu. Draw ndio zilikuwa zinatusumbua na kufunga Kigoli kimoja kimoja. Akina Sarpong tumeachana nao kwa sababu tulisema alikuwa siyo mfungaji mzuri.Ni mchezaji gani wa Yanga wa sasa ambae usajili wake ni wa gharama kubwa ya kutisha kulinganisha na miaka ya nyuma?
Pamoja na kua Yanga ilkua hali ngumu misimu kadhaa ya nyuma, msimu uliopita mbona walishindwa kutengeneza kikosi licha ya kufadhiliwa na GSM mpaka walivyomleta Nabbi.
Basi tukupe ww timu mwenye mbinu zisizotabirika. Machawa na wachawi hamtoisha milele.
Aliyeniroga kuwa yanga Mungu ambariki sana
Ushabiki mandszi pembeni, Nabbi ameibadili yanga, na hata mpinzani sasa hivi roho mkononi. Uchezaji wa kumiliki mpira unafanywa na yanga.Vitu vingine tukubali kutumia akili tusiendeshwe na mihemko, Yanga mpya ilianza kujengwa msimu uliopita ndio maana hata ligi tuliongoza ligi kwa kipindi kirefu. Draw ndio zilikuwa zinatusumbua na kufunga Kigoli kimoja kimoja. Akina Sarpong tumeachana nao kwa sababu tulisema alikuwa siyo mfungaji mzuri.
Msimu huu timu imefanya usajili mkubwa karibia kila nafasi hivyo tunastahili matokeo bora zaidi ya yale ya msimu uliopita. Kwa upande wa matokeo, kutolewa club bingwa tena hatua ya kwanza ilikuwa doa kwa Nabi, kwenye ligi inabidi akomae achukue ubingwa ndio tuone angalau kuna mabadiliko ya matokeo ndani ya club.
Mwaka gani mkuu?Wachezaji watatu kwa kila namba ni wengi sana, ndio maana baadhi ya wachezaji wanapaswa kuwa kuwa versatile ili wacheze namba zaidi ya moja. Kati ya eneo Yanga wanapaswa kulifanyia kazi ni pamoja na kutafuta kocha anayeeleweka. Uchezaji wa Nabi uko very predictable, pasi nyingi na mchezo wa taratibu ambao hauko aggressive hata kidogo.
Kwa wachezaji waliopo Yanga kwa sasa, hatupaswi kuwa na kuzuizi cha kubeba kombe la ligi au kuvuka hatua ya makundi club bingwa Afrika.
Club bingwa unajuwa na wachezaji wangapi hawakucheza kutokana na vibali? Nabi simshtumu kuwa ni mbovu ila ajue bado ana kazi ya kufanya. Ubora wake unapaswa kupimwa kwa mafanikio atakayoleta ndani ya club, kwani naamini labda ndani ya miaka 15 hivi huyu ndiye kocha aliyewekewa mazingira bora kabisa ndani ya club hivyo alete matokeo stahiki. Ukicheki uchezaji wa Yanga wakati wa Hans Van Da Plujm na Tom na Tom Saintfiet ndio utaelewa hoja Yangu.Ushabiki mandszi pembeni, Nabbi ameibadili yanga, na hata mpinzani sasa hivi roho mkononi. Uchezaji wa kumiliki mpira unafanywa na yanga.
Unasema timu hailo aggressive, hivi biashara walivopata goli, uliona jinsi goli lilivyotafutwa? Timu gani inaweza tafuta goli na ikalipata Kwa muda mfupi kwa ulr uchezaji wa biashara? Hata makilo walichemka.
Vipi kuhusu prisons walivyotikisa kiberiti. Heshima apewe Nabbi jaman, kaleta raha jangwani. Kuhusu ubingwa ni majaaliwa lkn kazi yake inaonekana.
Vlub bingwa ana sababu ya kujitetea, wachezaji wengi walikua hawana vibali, ikabidi watumike akina Nchimbi.
Shida ilikuwa approach ya mwalimu na siyo quality ya wachezaji.Mwaka gani mkuu?
Maana kikosi hiki ndicho kilipigwa home na away.
UWONGO HUO.[emoji115]Inajulikana kuwa Simba walivutiwa sana na huduma ya huyu mchezaji mzambia kutoka katika club ya Zanaco, katika kipindi cha dirisha kubwa ila ikashindikana kutokana na idadi ya wachezaji kutimia
Wakajipanga kurudi tena katika dirisha hili dogo ila bahati mbaya Zanaco imefuzu hatua ya makundi shirikisho hivo kufuta matumaini ya Simba kumnunua phiri maana endapo kama watamnunua itabidi asitumike katika mashindano ya Shirikisho kama Sheria inavosema, Simba inataka kununua wachezaji wa kigeni Kwa ajili ya kuongeza nguvu Katika shirikisho
Inadaiwa kuwa Yanga ishamalizana na striker na kilichobaki ni kumalizana na uongozi wa club ya Zanaco na wamefkia hatua nzuri Kwa hiyo ni Jambo la muda tu Kwa Yanga kukamilisha usijili wa Mosses phiri
Kwa Yanga kumpata mchezaji huyu sio siri kwangu Mimi sasa rasmi nawaweka katika mbio za ubingwa maana wanaonekana wako serious na wamedhamiria Kweli msimu huu, jamaa ni fundi haswa ambae anaweza kucheza kama namba 9,10 lakini pia winger, Kwa ile striking force yao na kumuongeza huyu mwamba hapo sasa wamekamilika haswaaa
Kwa Moloko ndo huyo dogo Denis NkaneWatafute beki mbadala wa MWAMNYETO pale nyuma, huku mbele nafasi ya MOLOKO, na NTIBAZONKIZA zitafutiwe washindani halisi. Sina shia na katikati. Mbele pale tunahitaji mijitu inapiga MIWA hata akiwa karibu na kati.
Siyo doa kivile coz wachezaji muhimu hawakuwa na vibaliVitu vingine tukubali kutumia akili tusiendeshwe na mihemko, Yanga mpya ilianza kujengwa msimu uliopita ndio maana hata ligi tuliongoza ligi kwa kipindi kirefu. Draw ndio zilikuwa zinatusumbua na kufunga Kigoli kimoja kimoja. Akina Sarpong tumeachana nao kwa sababu tulisema alikuwa siyo mfungaji mzuri.
Msimu huu timu imefanya usajili mkubwa karibia kila nafasi hivyo tunastahili matokeo bora zaidi ya yale ya msimu uliopita. Kwa upande wa matokeo, kutolewa club bingwa tena hatua ya kwanza ilikuwa doa kwa Nabi, kwenye ligi inabidi akomae achukue ubingwa ndio tuone angalau kuna mabadiliko ya matokeo ndani ya club.
Unaweza kusajili mchezaji bora ila asije kuwa bora kwenye timu yako.Mpira una formula zake sana sio blahblahKama ni kweli basi niwape hongera viongozi wa Yanga kwani wanathibitisha ni kwa kiasi gani wamepania kuipaisha timu yao kitaifa na kimataifa. Moses Phiri ni mtu hasa na Yanga pale mbele itakuwa moto kutakuwa hakuna timu ya kuisimamisha kwenye ligi yetu.
Ambundo yupo wapi ndio kusajiliwa dirisha dogo? Mbona yupo kabatini daily?Yangu mchwa wanamla ambundo!!!Kwa nafasi ya Moloko na Ntibazonkiza yupo Nkane na Ambundo na hata Ngushi ana uwezo wa kucheza akitokea pembeni,hapo kwa Mwamnyeto kweli ni muhimu apate beki mwingine mkali wa kumpa ushindani!
Mwamba yupi kaenda kwa yeboyebo?Hv kanjibai Mo amegoma kutoa hela ya usajili?
Kumuacha huyu mwamba kwenda utopoloni ni rasmi ubingwa wa ndani unaenda Jangwani jumlisha na kipigo kwenye derby.