Huyu sio Msolwa?View attachment 1311448
Inawabidi wawe na imani tu na watu wao!
Yanga ni Yanga siku zote.Hii Yanga siyo kwa kweli. Hii Yanga siyo ile niliyoipenda enzi nipo mtoto nachukua karatasi naandika list yote ya Yanga kuanzia Rifat Said/Stephen Nemes mpaka Edibily Lunyamila. Hapo kati Sanifu Lazaro,Thomas kipese,Keneth Mkapa,Godwin Aswile,Salum Kabunda ,Issa Athumani,Athuman China,Said Mwamba na wengine kibao.
Hiyo ni kama trial tu, Baada ya mechi kuisha watafukuzwa wengi
Duh kumbe na wewe ni mhenga. Hiyo squard weka mbali na watoto, mikia walikuwa wanakufa siku WK moja kabla.Hii Yanga siyo kwa kweli. Hii Yanga siyo ile niliyoipenda enzi nipo mtoto nachukua karatasi naandika list yote ya Yanga kuanzia Rifat Said/Stephen Nemes mpaka Edibily Lunyamila. Hapo kati Sanifu Lazaro,Thomas kipese,Keneth Mkapa,Godwin Aswile,Salum Kabunda ,Issa Athumani,Athuman China,Said Mwamba na wengine kibao.
Bi dada hii Yanga ya mwaka gani?Hii Yanga siyo kwa kweli. Hii Yanga siyo ile niliyoipenda enzi nipo mtoto nachukua karatasi naandika list yote ya Yanga kuanzia Rifat Said/Stephen Nemes mpaka Edibily Lunyamila. Hapo kati Sanifu Lazaro,Thomas kipese,Keneth Mkapa,Godwin Aswile,Salum Kabunda ,Issa Athumani,Athuman China,Said Mwamba na wengine kibao.
1990 mwishoni hiyo.Bi dada hii Yanga ya mwaka gani?
1990 mwishoni Edibily Lunyamila alikuwa ni 🔥Duh kumbe na wewe ni mhenga. Hiyo squard weka mbali na watoto, mikia walikuwa wanakufa siku WK moja kabla.
Huu mwaka sijazaliwa1990 mwishoni hiyo.
Basi wewe hujakua kipindi cha Edibily Lunyamila. Pole maana enzi hizo pia Simba alikuwepo Nteze John Lungu.Huu mwaka sijazaliwa
Watu wengi nawaonaga wanamsifia huyo Lunyamila basi inaonesha jamaa anajua mpira kwelkwel dah! Kiukwel nimekosa vitu vingi ila Hawa wachezaji ninaowaona sasa hiv ni pasua kichwa.Basi wewe hujakua kipindi cha Edibily Lunyamila. Pole maana enzi hizo pia Simba alikuwepo Nteze John Lungu.