Yanga yamtambulisha beki wa mpira Mamadou Doumbia

Yanga yamtambulisha beki wa mpira Mamadou Doumbia

utopolo og

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2022
Posts
575
Reaction score
1,575
Mabingwa wa makombe yote nchini Tanzania ambao pia ndio vinara wa ligi ya Nbc Dar Young Africans almaarufu Yanga leo wamemtambulisha beki kisiki cha mpingo raia wa Mali.

Usajili wa Mchezaji huyo kutoka Stade malien utaongeza nguvu sehemu ya ulinzi ya kikosi cha wananchi msimu huu

Mwaka huu Wataomba kuhamia ligi ya burundi.

180434322_113518100870444_1950836021818085116_n.jpg
hqdefault(2).jpg
 
Mnapoleta taarifa ziwe zimekamilika wengine tunatumia jf tu kupata taarifa kwa hiyo hivi vinusu nusu vyenu vinaleta usumbufu

Kuna aina 3 za beki
kuna beki wa kati
beki wa pembeni kulia
beki wa pembeni kushoto

Sasa huyu beki hatujui ni wa nafasi gani zaidi zaidi umeandika beki kisiki ukaona umemaliza

BADILIKENI
 
Mnapoleta taarifa ziwe zimekamilika wengine tunatumia jf tu kupata taarifa kwa hiyo hivi vinusu nusu vyenu vinaleta usumbufu

Kuna aina 3 za beki
kuna beki wa kati
beki wa pembeni kulia
beki wa pembeni kushoto

Sasa huyu beki hatujui ni wa nafasi gani zaidi zaidi umeandika beki kisiki ukaona umemaliza

BADILIKENI
Beki Mwamnyeto
 
Mnapoleta taarifa ziwe zimekamilika wengine tunatumia jf tu kupata taarifa kwa hiyo hivi vinusu nusu vyenu vinaleta usumbufu

Kuna aina 3 za beki
kuna beki wa kati
beki wa pembeni kulia
beki wa pembeni kushoto

Sasa huyu beki hatujui ni wa nafasi gani zaidi zaidi umeandika beki kisiki ukaona umemaliza

BADILIKENI
Mbona maelezo yote yapo kwenye hiyo picha hapo juu! Au kuna tatizo kidogo kwenye lugha ya Malkia?
 
Kuna watu wanapumulia mashine, iyo April 19 watabeba mpira kwapani kama walivyofanya enzi zileee [emoji1787][emoji1787]
 
Yaani viongozi wanamtambulisha huyu Mamadou halafu hawamtambulishi Metacha, ili tujadili Mamadou tusahau kuwa kuna duka limerudishwa?
 
Yaani viongozi wanamtambulisha huyu Mamadou halafu hawamtambulishi Metacha, ili tujadili Mamadou tusahau kuwa kuna duka limerudishwa?
Wamtambulishe mtu aliewapa dole la kati taifa? Lazima wafanye kimya kimya
 
Mnapoleta taarifa ziwe zimekamilika wengine tunatumia jf tu kupata taarifa kwa hiyo hivi vinusu nusu vyenu vinaleta usumbufu

Kuna aina 3 za beki
kuna beki wa kati
beki wa pembeni kulia
beki wa pembeni kushoto

Sasa huyu beki hatujui ni wa nafasi gani zaidi zaidi umeandika beki kisiki ukaona umemaliza

BADILIKENI
Angalia picha namba mbili mbona wame andika ni CB
 
Yanga imechagua kuacha soka la Uswahili mwingi na kuchukulia soka kama biashara yanga wamekua Serious sana.

Wamefunga masikio na kufanya mambo kwa manufaa ya timu na sio kelele za wachambuzi uchwara na mashabiki wasiojielewa yanga wangekua wanasikiliza kelele za mashabiki au wachambuzi uchwara Metacha asingerudi.

Yes football ni fair game metacha alikosea kakiri makosa mwache apige kazi sasa binafsi nliumia kuona kiwango cha metacha kinapotea kizembe

Watu waliokua nyuma yake walimshauri vibaya kapewa second chance sasa.
 
Yanga imechagua kuacha soka la Uswahili mwingi na kuchukulia soka kama biashara yanga wamekua Serious sana.

Wamefunga masikio na kufanya mambo kwa manufaa ya timu na sio kelele za wachambuzi uchwara na mashabiki wasiojielewa yanga wangekua wanasikiliza kelele za mashabiki au wachambuzi uchwara Metacha asingerudi.

Yes football ni fair game metacha alikosea kakiri makosa mwache apige kazi sasa binafsi nliumia kuona kiwango cha metacha kinapotea kizembe

Watu waliokua nyuma yake walimshauri vibaya kapewa second chance sasa.
Well said, bravo
 
Back
Top Bottom