Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
YANGA YAPOKELEWE KWA SUPU BUKOBA
Wanachama na mashabiki wa timu ya soka ya Yanga Mkoani Kagera wameandaa tukio Maalumu la kunywa Supu lililoambatana na usajili wa wanachama wapya ikiwa ni ishara ya kuipokea timu Yao inayotarajia kucheza mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara dhidi ya wanankurukumbi Kagera Sugara hapo kesho Agosti 29, 2024 majira ya saa 1:00 usiku katika dimba la Kaitaba.
Mashabiki hao wamesema tukio hilo linaacha historia kubwa kwenye nyoyo zao na kuwafanya kuendelea kuishangilia timu Yao huku wakitamba kuifunga Kagera Sugar.
@sirallawi
#WasafiDigital
Wanachama na mashabiki wa timu ya soka ya Yanga Mkoani Kagera wameandaa tukio Maalumu la kunywa Supu lililoambatana na usajili wa wanachama wapya ikiwa ni ishara ya kuipokea timu Yao inayotarajia kucheza mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara dhidi ya wanankurukumbi Kagera Sugara hapo kesho Agosti 29, 2024 majira ya saa 1:00 usiku katika dimba la Kaitaba.
Mashabiki hao wamesema tukio hilo linaacha historia kubwa kwenye nyoyo zao na kuwafanya kuendelea kuishangilia timu Yao huku wakitamba kuifunga Kagera Sugar.
@sirallawi
#WasafiDigital