gonamwitu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 2,187
- 2,794
Uto wamepumzika kufungwa kwa muda baada ya kupiga bomu mochwari na kujisifu wameua kumbe wameua maiti.
Kocha wa Yanga Mzee Saidi Ramadhani aapa kuivunja rekodi ya Man City ya kucheza mechi 7 bila ushindi. kocha huyo amenukuliwa akisema atalifanya hili mzunguko wa pili.
Prince Dube Mpumagoalless straika amesema kwa sasa hana mudi ya kufunga labda msimu ujao kwahyo msimpigie kelele.
Dj Azizi ki tupo naye kitambaa cheupe muda huu anaturusha msaidizi wake pacome.
Niite Gonamwitu.
Mkinitukana nitukaneni kwa kiingereza kiswahili sikijui.
Kocha wa Yanga Mzee Saidi Ramadhani aapa kuivunja rekodi ya Man City ya kucheza mechi 7 bila ushindi. kocha huyo amenukuliwa akisema atalifanya hili mzunguko wa pili.
Prince Dube Mpumagoalless straika amesema kwa sasa hana mudi ya kufunga labda msimu ujao kwahyo msimpigie kelele.
Dj Azizi ki tupo naye kitambaa cheupe muda huu anaturusha msaidizi wake pacome.
Niite Gonamwitu.
Mkinitukana nitukaneni kwa kiingereza kiswahili sikijui.