Nashukuru mtoto mwenzangu kwa kuja kuchangiaHuu uzi kwa sababu ni wa kitoto, hata mashabiki wenzako tu wameupuuzia! Imagine tangu ulipouandika usiku wa saa nne na dakika 55, mpaka muda huu wa saa mbili na dakika 10, wamechangia watu wawili tu!
Haahaahaah tate nane. Kula chuma iyooooHuu uzi kwa sababu ni wa kitoto, hata mashabiki wenzako tu wameupuuzia! Imagine tangu ulipouandika usiku wa saa nne na dakika 55, mpaka muda huu wa saa mbili na dakika 10, wamechangia watu wawili tu!
Wamejkchokea wale...kila mtu anajipigia tuuKwa hiyo Namungo FC ni "maiti"?
Astakafirullah..!