Yanga yasonga mbele kwa mabao 14-1

Yanga yasonga mbele kwa mabao 14-1

Babuji

Senior Member
Joined
Nov 27, 2008
Posts
197
Reaction score
4
TIMU ya soka ya Yanga muda mfupi uliopita imeweza kuiangushia kipigo cha mbwa mwizi Eoile d’Or Mirontsy ya Comoro baada ya kuifunga mabao 6-0 katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliochezwa katika Uwanja wa Beaumer mjini Moroni.

KIUNGO mshambuliaji Mrisho Ngassa ameweza kuifungia Yanga mabao matatu ndani ya kipindi cha kwanza cha mchezo huo sambamba na beki Nadir Haroub ‘Cannavaro’ aliyefunga moja.

Mara baada ya kupata mabao hayo, Yanga ilijiahidi kuongeza mabao mengine lakini Mirontsy walionekana kuzuia zaidi na kwenda mapumziko ikiwa nyuma kwa mabao 4-0.

Source: Nifahamishe.com
 
Last edited:
Hawa tayari wamechoka..nashangaa kuna haja gani kuwaonea watu wachovu!

Uonevu kitu mbaya sana!
 
Yeboyebo wanatishaaaa kusema kweli!! 🙂 🙂 🙂
 
Kipigo kama hiki kinamsubiria Al Ahly ya misri mwezi ujao
Mwaka huu kombe letu
 
BTW kuna bonge la soccer AC Milan na Inter Milan mpaka dakika hii Inter 2 AC 1
 
Yanga Viva la Musique. Yanga hoyeee!!!!!! Simba mwaona donge!!!!!!!!!! Ma mpangoa wa kubadilisha makocha mara ngapi nyie Simba???????........Yanga tunatishaaaaaaaaaaaaaa
 
Mimi yanga,

Ila siwezi kufurahia kuwafunga vibonde bao 14!

Hii timu Comoro hufugwa kila raundi ya kwanza! sasa jipya hapo ni nini?
 
Nafikiria mtangazaji wa Comoro alipokuwa akiwatangazia wenzake matokeo alisema jamani tumetolewa kwa jumla ya mabao 14-1 au alikaa kimyaa?

mhh yebo yebo nomaa! sasa dozi kama hii ataipata Al ahly na wenzake wote watakaofuatia
 
Kipigo kama hiki kinamsubiria Al Ahly ya misri mwezi ujao
Mwaka huu kombe letu

Kuweza kuendesha gari kijijini si kwamba hata Dar utaendesha inabidi kwanza uuelewe mji na mataa yake kwani vijijini hakuna mataa, Yanga waewaonea hao villagers wawasuiri watoto wa mjini Al Ahly uone jinsi Yanga watakavyo fyata mkia.
 
sinkala-albums-sinkala-picture354-flavio.jpg
 
Ni vizuri tukaijua Al Ahly ya 2008

2008 (Champion: Ahly)
1st round
APR FC (Rwanda) 1/2 Zamalek (Moustafa Gaafar 4' / Gamal Hamza 71')
Zamalek 2/0 APR FC (Rwanda) (Mahmoud Fathallah 52' Pen / Sherif Ashraf 79')
-
2nd round
Al Tahrir (Eritrea) / Ahly (Al Tahrir withdrew)
&
Zamalek 2/0 Africa Sport (Core d'Ivoire) (Amr Zaki 30' / Mohamed Aboul Ela 43')
Africa Sport (Core d'Ivoire) 2/0 (4-5 Pen) Zamalek
-
3rd round
Platinium Stars (South Africa) 2/1 Ahly (Emad Moteab 82')
Ahly 2/0 Platinium Stars (South Africa) (Emad Moteab 50' / Flavio Amado 69')
&
Zamalek 3/0 GD Interclube (Angola) (Amr El-Safty 4' / Mahmoud Abdel Razek Shikabaka 10' / Mohamed Ibrahim 26')
GD Interclube (Angola) 2/1 Zamalek(Gamal Hamza 15')
-
Quarter Final - Group A
P W D L GS GA Pnts
1 Ahly 6 3 3 0 9 6 12
2 Dynamos 6 3 0 3 6 6 9
3 ASEC 6 1 3 2 7 6 6
4 Zamalek 6 1 2 3 4 8 5

Ahly 2/1 Zamalek-(Flavio Amado 28" / Ahmed Hassan 66")(Gamal Hamza 62')
-
ASEC Mimosas (Cote d'Ivoire) 0/0 Ahly
Zamalek 1/0 Dynamos Harare (Zimbabwe)-(Amr El-Safty 3')
-
Zamalek 0/0 ASEC Mimosas (Cote d'Ivoire)
Ahly 2/1 Dynamos Harare (Zimbabwe)-(Mohamed Barakat 5' / Mohamed Aboutraika 90+5')
-
ASEC Mimosas (Cote d'Ivoire) 3/0 Zamalek
Dynamos Harare (Zimbabwe) 0/1 Ahly-(Mohamed Barakat 10')
-
Zamalek 2/2 Ahly-(Gamal Hamza 42' / Junior Agogo 51')(Flavio Amado 9' / Mohamed Aboutraika 70')
-
Dynamos Harare (Zimbabwe) 1/0 Zamalek
Ahly 2/2 ASEC Mimosas (Cote d'Ivoire)-(Mohamed Aboutraika 4' / Mahmoud Samir 76')
Semi Final
Enyimba (Nigeria) 0/0 Ahly
Ahly 1/0 Enyimba (Nigeria)-(Flavio Amado 25')

Final
Ahly 2/0 Coton Sport (Cameroon)-(Wael Gomaa 3' / Flavio Amado 15')
Coton Sport (Cameroon) 2/2 Ahly-(Ahmed Hassan 38' / Shady Mohamed 89' Pen)
 
Back
Top Bottom