Yanga yatembelea kituo cha watoto yatima na kutoa msaada

Yanga yatembelea kituo cha watoto yatima na kutoa msaada

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
22,719
Reaction score
40,739
Uongozi wa Young Africans ukiongozwa na Rais wetu Eng. Hersi Said pamoja na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji Ndg.Alex Ngai pamoja na baadhi ya wachezaji wetu, leo wametembelea kituo cha Watoto wenye uhitaji kiitwacho Casa famiglia rosetta, kilichopo Jijini Tanga na kuwapatia zawadi mbalimbali.
FB_IMG_16994481750958048.jpg
 
Denis Nkhane Mbona amekuwa kama Mgeni amesahau salamu maarufu ya sasahivi 🖐🏿
 
Back
Top Bottom