Yanga yatoa Ng'ombe kwa waandishi wa habari baada ya kureport vizuri mechi ya kumkanda Simba goli 5

Yanga yatoa Ng'ombe kwa waandishi wa habari baada ya kureport vizuri mechi ya kumkanda Simba goli 5

Madumbikaya

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2018
Posts
639
Reaction score
1,919
Leo club ya Young Africans imekabidhi ng'ombe kwa waandishi wa habari baada ya kureport vizuri na kuhabarisha uma tukio la kumkanda kolo goli tano

Yanga imewashukuru waandishi wa habari kwa ushirikiano mkubwa wanaouonyesha katika kuhabarisha uma
 
Wajinga sana/halafu cha ajabu wacha mbuzi wanaisimanga simba iliyotoa drow,hawaisemi kabisa yanga iliyopigwa tatu
Hakuna mchambuzi wala mwanahabari anayeisimanga Simba ila mashabiki wa Simba ndio wanaisimanga timu yao mkuu kama video onavyojieleza.

 
Ndiyo kusema hutaki ng'ombe? Binafsi nilipanga kuwapa ng'ombe 5 mashabiki wote wa simba wa humu jukwaani siku moja kabla ya sikukuu ya Christmas ya mwaka huu wa 2023! Kwa ajili ya kitoweo cha sikukuu.

Na nilitarajia utakuwa sehemu ya wawakilishi wakati wa kukabidhiwa hizo ng'ombe zenu, kwenye ofisi za jamii forums..
Khaaaaaaa 🤣
 
Ndiyo kusema hutaki ng'ombe? Binafsi nilipanga kuwapa ng'ombe 5 mashabiki wote wa simba wa humu jukwaani siku moja kabla ya sikukuu ya Christmas ya mwaka huu wa 2023! Kwa ajili ya kitoweo cha sikukuu.

Na nilitarajia utakuwa sehemu ya wawakilishi wakati wa kukabidhiwa hizo ng'ombe zenu, kwenye ofisi za jamii forums..
Toka lini mbu akamchangia binadamu damu?
 
Back
Top Bottom