OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Klabu ya Yanga imetozwa faini ya Sh 2,000,000 kwa kosa la mashabiki wake kurusha chupa za maji kiwanjani baada ya timu ya Ihefu kufunga bao la pili.
Pia kwa kosa la maofisa wa benchi la ufundi wa Yanga kuonekana wakipinga maamuzi na kumzonga mwamuzi wa akiba.
.
Naye Afisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe ametozwa faini ya Sh 1,000,000 kwa kosa la kumkejeli na kumdhalilisha mwamuzi Malogo.
Pia kwa kosa la maofisa wa benchi la ufundi wa Yanga kuonekana wakipinga maamuzi na kumzonga mwamuzi wa akiba.
.
Naye Afisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe ametozwa faini ya Sh 1,000,000 kwa kosa la kumkejeli na kumdhalilisha mwamuzi Malogo.