Kuilinganisha Barcelona na Simba ni kuidhalilisha Barcelona. Similarly, kuilinganisha Simba na Yanga, ni kuidhalilisha SimbaKatika maisha hatuwezi kulingana kwa kila kitu! Vipi tukiulinganisha huo usajili wa huyo Miquson wako na ule wa Lionel Messi kwenda PSG?
Hata hivyo Kisinda ana miaka 21 tuKatika maisha hatuwezi kulingana kwa kila kitu! Vipi tukiulinganisha huo usajili wa huyo Miquson wako na ule wa Lionel Messi kwenda PSG?
Chama kauzwa kwa 1.5BYanga imemuuza Kisinda kwa RS Berkane kwa Dola 150,000 (Sawa na Tsh MIL 347.8)
Berkane pia watagharamia kambi ya 'Pre Season' ya Yanga itakayowekwa katika kituo cha michezo cha KING Mohammed VI, Morocco ikiwa ni sehemu ya makubaliano ya uhamisho wa Kisinda.
Piga hesabu ya gharama ya kambi kwa siku 17 halafu uone kama haijakatika b na kituM347 mwenzake Miquson kaulamba 1.2 B
Thamani ya Luis ni mara tatu zaidi ya Kisinda
hata wakae mwezi mzima hawafikishi M50 tena hiyo nimepigia pamoja na gharama ya nauli ya kurudiaPiga hesabu ya gharama ya kambi kwa siku 17 halafu uone kama haijakatika b na kitu
Wasirudi tu na vitumbo juu na kutema mate kama nyoka.kulipiwa na mwarabu sio jambo la kifurahia. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umesema kweli kabisa atuwezi kulingana kilakitu,wachezaji wa Simba wapo juu na wanathamani kubwa.Katika maisha hatuwezi kulingana kwa kila kitu! Vipi tukiulinganisha huo usajili wa huyo Miquson wako na ule wa Lionel Messi kwenda PSG?
Wewe shtuka,mwarabu akugharamie kilakitu burebure tu!.hamini nakwambia Yanga wakirudi wakaguliwe vizuri.Piga hesabu ya gharama ya kambi kwa siku 17 halafu uone kama haijakatika b na kitu
Ukaguzi tungeanza na hawa ingependeza aiseeWewe shtuka,mwarabu akugharamie kilakitu burebure tu!.hamini nakwambia Yanga wakirudi wakaguliwe vizuri.
Piga hesabu ya gharama ya mauzo ya Kisinda ukijumlisha na gharama ya safari kwenda na kurudi Tanzania , kambi ya hoteli ya kifahari pamoja na posho zote kwa wachezaji na benchi lote la Ufundi kwa kipindi chote wakiwa kambini Moroco. Utapata mpunga mrefu kuzidi wa ChamaUmesema kweli kabisa atuwezi kulingana kilakitu,wachezaji wa Simba wapo juu na wanathamani kubwa.
We unafikiri aliyewaita "mbumbuu" aliwasingizia?.Piga hesabu ya gharama ya mauzo ya Kisinda ukijumlisha na gharama ya safari kwenda na kurudi Tanzania , kambi ya hoteli ya kifahari pamoja na posho zote kwa wachezaji na benchi lote la Ufundi kwa kipindi chote wakiwa kambini Moroco. Utapata mpunga mrefu kuzidi wa Chama