Yanga yazidi kuzindua matawi mapya kwa kishindo

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Yanga Yazidi Kuzindua Matawi Mapya kwa Kishindo

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano Engineer Hersin Said amezindua tawi Jipya la Klabu ya Yanga liitwalo DARAJANI LIKOMBE lililopo Mkoani Mtwara.

Sherehe za uzinduzi huo zilihudhuriwa na Wanachama na Washabiki wa Yanga

Uzinduzi huo umefanywa kwa niaba ya Dkt Msolla Mshindo ambaye ni Mwenyekiti wa Yanga

DaimaMbeleNyumaMwiko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…