Yanga yazindua kadi za kidigitali zitazokuwa zinatumiwa na Wanachama

Yanga yazindua kadi za kidigitali zitazokuwa zinatumiwa na Wanachama

DullyJr

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
13,983
Reaction score
11,857
Yanga imeingia mkataba wa makubaliano na Kampuni za KILINET na N-Card kwa ajili ya kutengeneza kadi za kidigitali zitazokuwa zinatumiwa na Wanachama wa klabu hiyo ambayo inaingia katika mfumo mpya wa uendeshaji.

“Ni kadi ya kisasa ya kidigitali ambayo itakua na jina la Mwanachama na picha yake, sasa tunakwenda rasmi kufanya mradi huu ufanye kazi, wale Mashabiki tunaoishabikia Timu yetu sasa twende kuiongezea thamani timu yetu, asichati Mtu yeyote kwenye group la Yanga mpaka atume muamala wa kuonesha amelipia ada yake ya uwanachama, hatutaki Watu ambao hawachangii Timu yetu, ni shilingi elfu 29 tu”-Hersi Said @caamil_88

shaffihdauda_-20220105-0001.jpg


Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Hahaha si wana GSM kwanini asichangie badala yake ameruhusu kampeni ya kuchukua vichechi vya wananchi?

Bora MO alitoa hata Bilion 2 kama mfano wa kuhamasisha mashabiki wachangie, enhee huyo GSM katoa nini?

Pia hata lugha ya uwasilishaji wa hilo zoezi sio rafiki msemaji ni kama anawananga kwa mipasho mashabiki.
 
Mi nawachangia buku Manara albino asikose hela ya kula
 
Hata Simpa mlizindua hili bakuli, kama sikosei usajili ulikuwa 19000 ada ya kila mwaka 14000.

Ila ninachojua mimi mashabiki wa Simba na Yanga kelele nyingi Ila hatupendi kuzichangia timu zetu.
 
Yanga imeingia mkataba wa makubaliano na Kampuni za KILINET na N-Card kwa ajili ya kutengeneza kadi za kidigitali zitazokuwa zinatumiwa na Wanachama wa klabu hiyo ambayo inaingia katika mfumo mpya wa uendeshaji.

“Ni kadi ya kisasa ya kidigitali ambayo itakua na jina la Mwanachama na picha yake, sasa tunakwenda rasmi kufanya mradi huu ufanye kazi, wale Mashabiki tunaoishabikia Timu yetu sasa twende kuiongezea thamani timu yetu, asichati Mtu yeyote kwenye group la Yanga mpaka atume muamala wa kuonesha amelipia ada yake ya uwanachama, hatutaki Watu ambao hawachangii Timu yetu, ni shilingi elfu 29 tu”-Hersi Said @caamil_88

View attachment 2069311

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Hivi kulipia uanachama nako ni bakuli???aisee makolo mna shida sana, Rage hakukosea kuwaita mbumbumbu!!endeleeni kushangilia tu hela za urithi familia ya moh ndo mtakapojua hamjui!!lipia card ya uanachama team yako iongeze mapato.
 
Yanga imeingia mkataba wa makubaliano na Kampuni za KILINET na N-Card kwa ajili ya kutengeneza kadi za kidigitali zitazokuwa zinatumiwa na Wanachama wa klabu hiyo ambayo inaingia katika mfumo mpya wa uendeshaji.

“Ni kadi ya kisasa ya kidigitali ambayo itakua na jina la Mwanachama na picha yake, sasa tunakwenda rasmi kufanya mradi huu ufanye kazi, wale Mashabiki tunaoishabikia Timu yetu sasa twende kuiongezea thamani timu yetu, asichati Mtu yeyote kwenye group la Yanga mpaka atume muamala wa kuonesha amelipia ada yake ya uwanachama, hatutaki Watu ambao hawachangii Timu yetu, ni shilingi elfu 29 tu”-Hersi Said @caamil_88


Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Kwahio mchango ni pesa pekee...., vipi wale wanaokata ticket kila game na kutumia muda wao wakishangilia hio timu ?

Huenda hao wana mchango mzito kuliko hata huyu anayekataa baadhi ya watu sababu eti hawajachangia elfu 29 tu
 
Back
Top Bottom