Yanga yenye Wanaume VS Simba ya vijana

Yanga yenye Wanaume VS Simba ya vijana

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Ukweli acha usemwe tu Yanga inatimu nzuri sana kwa misimu hii minne tangu alivyokuwa kocha la mpira Nabi hadi sasa Master Gamond ambaye anarekodi zake nzuri kwa kipindi cha msimu mmoja na nusu ndani ya Yanga.

1. Moja wapo ni kuipeleka Yanga hatua ya makundi klabu Bingwa Afrika mara mbili mfululizo.

2. Kumkanda vizuri sana my wetu Simba SC mara nne mfululizo tena kwa ushindi mzuri ukiwemo wa Goli tano.

Sasa uwezi kuifananisha na Simba ambayo inatimu iliyojaa wavulana ambao wapo katika balehe wakati Yanga imejaa wa baba tena wenye majukumu ya kifamilia lazima wakifanya kazi wanafanya kazi haswa kwajili ya kuzilisha familia zao.

Kwahiyo hata Yanga achezi kwa siku mara mbili, Simba atafungwa tu huo ndiyo ukweli kabisa. Yanga tunatimu imara sana ambayo imejaa wachezaji wenye ukomavu mkubwa na uzoefu usio wa kifani kwenye soka.

Simba mtalalamika sana mwaka huu endeleeni kupeleka malalimiko TFF 😀 :DiscoFox:
 
Hata Yanga ikishindwa kufunga goli, kwa kiwewe, huwa simba wanajiweka wenyewe!!
Imeenda hiyo!!
 
Of course referees are there for utopolo united!
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
JamiiForums-312072181.jpeg
 
Back
Top Bottom