Yanga: Zizi lisilo na ndama halina uhai!

Yanga: Zizi lisilo na ndama halina uhai!

Tango73

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2008
Posts
2,180
Reaction score
1,291
Timu isiyokuwa na academy ya kufundisha soka vijana uhai wake uko mashakani. Yanga punguza gharama za usajili nje na ndani ya nchi kwa kulea vijana wenye vipaji vya soka. Kusajili mchezaji kwa mabilion ya pesa toka nje ya nchi ambapo uchezaji wake hautishi kuliko wazawa ni kupoteza pesa tuu.

Mkoa wa Dar Es salaam una mamilion ya vijana wenye vipaji vya soka la kutisha isipokuwa hali ngumu ya maisha kutoka katika familia zao kuwagharimia kujiendeleza kisoka kunawadhoofisha sana vijana hao wafikiapo miaka 16! Hivyo matawi ya Yanga nje na ndani ya mkoa wa Dar yakifanya upekuzi wa vijana wenye vipaji kuja kujiendeleza kisoka clabuni itakuwa jambo la dhahabu sana.

Kama nchi hii imeweza kutoa wachezaji wakali kama Mogella, omari hussein,Pondamali, thueni Ally na Gaga hamisi basi accademic za watoto zitatoa wakali wa mfano wa messi na Neymar!

Nitafurahi sana kusikia kikosi cha Yanga kina wazawa wengi kuliko mamluki wakati timu ikiwa katika makundi ya CAF kuliko ilivyo sasa mbapo mamluki ni wengi timuni kuliko wazawa!hii itatimia ikiwa Yanga wakizingatia :ZIZI LISILO NA NDAMA SIKU ZOTE HALINA UHAI!
 
Kuna ukweli hapa,,, naonaga katika vilabu vyeti hasa hv vikubwa usajili wowote kutoka nje ndo unaonekana usajili wa maana sana, hvyo tunawachulia poa hawa wachezaji wetu wazawa
 
Timu isiyokuwa na academy ya kufundisha soka vijana uhai wake uko mashakani. Yanga punguza gharama za usajili nje na ndani ya nchi kwa kulea vijana wenye vipaji vya soka. Kusajili mchezaji kwa mabilion ya pesa toka nje ya nchi ambapo uchezaji wake hautishi kuliko wazawa ni kupoteza pesa tuu.

Mkoa wa Dar Es salaam una mamilion ya vijana wenye vipaji vya soka la kutisha isipokuwa hali ngumu ya maisha kutoka katika familia zao kuwagharimia kujiendeleza kisoka kunawadhoofisha sana vijana hao wafikiapo miaka 16! Hivyo matawi ya Yanga nje na ndani ya mkoa wa Dar yakifanya upekuzi wa vijana wenye vipaji kuja kujiendeleza kisoka clabuni itakuwa jambo la dhahabu sana.

Kama nchi hii imeweza kutoa wachezaji wakali kama Mogella, omari hussein,Pondamali, thueni Ally na Gaga hamisi basi accademic za watoto zitatoa wakali wa mfano wa messi na Neymar!

Nitafurahi sana kusikia kikosi cha Yanga kina wazawa wengi kuliko mamluki wakati timu ikiwa katika makundi ya CAF kuliko ilivyo sasa mbapo mamluki ni wengi timuni kuliko wazawa!hii itatimia ikiwa Yanga wakizingatia :ZIZI LISILO NA NDAMA SIKU ZOTE HALINA UHAI!
 
Mimi naenda kinyume na andiko lako sababu sio lazima ukiwa na academy ndo utapunguza gharama za usajili hili sio kweli na mifano ipo.

Hebu tuangalie academy kubwa za Chelsea, man u, arsenal au man city je umeona wameacha kutumia gharama za usajili na kutegemea katika academy?

Turudi kwa vilabu vikubwa Africa kama Al ahly, zamalek, mamelod au Petro atletico umeona wakitegemea academy graduate wao katika timu? Zote bado zinafanya usajili wa maana tena wa gharama kubwa kabisa.

Kingine punguza chuki na wachezaji wanaotoka nje ya nchi usiwaite mamluki maana wapo nchini kisheria na wanafanya kazi zao vizuri na wanafwata Sheria acha chuki na ubaguzi.
 
Timu isiyokuwa na academy ya kufundisha soka vijana uhai wake uko mashakani. Yanga punguza gharama za usajili nje na ndani ya nchi kwa kulea vijana wenye vipaji vya soka. Kusajili mchezaji kwa mabilion ya pesa toka nje ya nchi ambapo uchezaji wake hautishi kuliko wazawa ni kupoteza pesa tuu.

Mkoa wa Dar Es salaam una mamilion ya vijana wenye vipaji vya soka la kutisha isipokuwa hali ngumu ya maisha kutoka katika familia zao kuwagharimia kujiendeleza kisoka kunawadhoofisha sana vijana hao wafikiapo miaka 16! Hivyo matawi ya Yanga nje na ndani ya mkoa wa Dar yakifanya upekuzi wa vijana wenye vipaji kuja kujiendeleza kisoka clabuni itakuwa jambo la dhahabu sana.

Kama nchi hii imeweza kutoa wachezaji wakali kama Mogella, omari hussein,Pondamali, thueni Ally na Gaga hamisi basi accademic za watoto zitatoa wakali wa mfano wa messi na Neymar!

Nitafurahi sana kusikia kikosi cha Yanga kina wazawa wengi kuliko mamluki wakati timu ikiwa katika makundi ya CAF kuliko ilivyo sasa mbapo mamluki ni wengi timuni kuliko wazawa!hii itatimia ikiwa Yanga wakizingatia :ZIZI LISILO NA NDAMA SIKU ZOTE HALINA UHAI!
Huu uzi haukupaswa itajwe Yanga tu bali timu zote zinazosajili wachezaji wa gharama toka nje
 
Timu isiyokuwa na academy ya kufundisha soka vijana uhai wake uko mashakani. Yanga punguza gharama za usajili nje na ndani ya nchi kwa kulea vijana wenye vipaji vya soka. Kusajili mchezaji kwa mabilion ya pesa toka nje ya nchi ambapo uchezaji wake hautishi kuliko wazawa ni kupoteza pesa tuu.

Mkoa wa Dar Es salaam una mamilion ya vijana wenye vipaji vya soka la kutisha isipokuwa hali ngumu ya maisha kutoka katika familia zao kuwagharimia kujiendeleza kisoka kunawadhoofisha sana vijana hao wafikiapo miaka 16! Hivyo matawi ya Yanga nje na ndani ya mkoa wa Dar yakifanya upekuzi wa vijana wenye vipaji kuja kujiendeleza kisoka clabuni itakuwa jambo la dhahabu sana.

Kama nchi hii imeweza kutoa wachezaji wakali kama Mogella, omari hussein,Pondamali, thueni Ally na Gaga hamisi basi accademic za watoto zitatoa wakali wa mfano wa messi na Neymar!

Nitafurahi sana kusikia kikosi cha Yanga kina wazawa wengi kuliko mamluki wakati timu ikiwa katika makundi ya CAF kuliko ilivyo sasa mbapo mamluki ni wengi timuni kuliko wazawa!hii itatimia ikiwa Yanga wakizingatia :ZIZI LISILO NA NDAMA SIKU ZOTE HALINA UHAI!
Naunga mkono hoja. Kwa umri wa timu kama Yanga, wa zaidi ya miaka 80! Inatakiwa kuwa na uwanja wake wa mazoezi na pia ule wa mechi, Hostel yake ya kisasa kabisa, na pia academy ya kuendeleza vijana wenye vipaji.

Ni matarajio yangu kuona rais wa sasa wa Yanga ndugu Herci Said, kwa kushirikiana na GSM na wadau wengine; wataendeleza ule mradi wa kule Kigamboni.
Na binafsi nitamdharau sana iwapo atawekeza zaidi kwenye porojo na propaganda kama walivyofanya watangulizi wake.

Hakuna sababu ya msingi ya kununua wachezaji waliokwisha choka kama akina Gael Bigirimana! Kisa wamewahi kucheza EPL, badala ya kuwekeza kwa vijana wenye vipaji.
 
Timu ipi Tanzania yenye academy ukiacha Azam?
 
Huu uzi haukupaswa itajwe Yanga tu bali timu zote zinazosajili wachezaji wa gharama toka nje
Hawa wachezaji wa nje wamesaidia mno kuinua viwango vya kiuchezaji ndani ya vilabu na kuboresha zaidi ligi, hivyo ni muhimu wawepo ili kudumisha ushindani unaokuza viwango.
 
Mleta mada apewe kitengo maalum hapo na darubini kabisa ili na hili, akalitazame.
 
Mkuu umeshauri vizuri, natamani viongozi wapite hapa na wayachukue mawazo yako.
Tujitahidi kuzalisha wachezaji wazawa kutoka kwenye academy yetu, sio kupoteza mapesa kibao kuleta akina Morson.
 
Back
Top Bottom