yanga

Oyeeeeeee!!! simba ! simba!
 
Umenena mkuu,J2 hawatoki hawa inajulikana hiyo.Dihile anakuwaga mtata sana mara apigwe quadripleza ajabu2,inasemekana anavuta mpunga.Lakini kocha wao bomba na ni timu ya rigeshi ingangamara.
 
Wakigongwa jumapili watatetereka! Lakini tatizo JKT Ruvu tawi lao na Dihile lazima ale mpunga!
Ndo uzuri wa soka ya Bongo,kila timu inayofungwa na Simba inaitwa tawi, tunavyojua sisi Simba ni kwamba hatujawahi kushindwa kuifunga hiyo jkt,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…