Yani Atlético Madrid inataka kupoteza ubingwa hivihivi

Yani Atlético Madrid inataka kupoteza ubingwa hivihivi

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
8,082
Reaction score
17,838
Ni half time sasa hivi. Atlético madrid 0 kibonde Valadollid 1. Ni mechi ya mwisho msimu huu wa la liga. Ushindi ni lazima kwa Atlético watwae ubingwa. Real Madrid nayo iko half time ikiwa goli moja nyuma dhidi ya vellareal 0-1.

Kuna tenshen ya hali ya juu. Matokeo yakibaki hivihivi hadi kipenga cha mwisho atlético bingwa. Ila Atletico akifungwa ama adraw na real Madrid ashinde basi Madrid bingwa.

Sijawahi kuona upinzani mkali kama huu kwenye ligi ya laliga

Erythrocyte
 
Ni half time sasa hivi. Atlético madrid 0 kibonde Valadollid 1. Ni mechi ya mwisho msimu huu wa la liga. Ushindi ni lazima kwa Atlético watwae ubingwa.
Real Madrid nayo iko half time ikiwa goli moja nyuma dhidi ya vellareal 0-1....
Wajinga jinga sana hawa unakumbuka ile fainali ya UEFA na Madrid huwa siwaamini sana huwa wanakuwa na matokeo ya ajabu ajabu
 
Ni half time sasa hivi. Atlético madrid 0 kibonde Valadollid 1. Ni mechi ya mwisho msimu huu wa la liga. Ushindi ni lazima kwa Atlético watwae ubingwa.
Real Madrid nayo iko half time ikiwa goli moja nyuma dhidi ya vellareal 0-1...

Full Time
Real Valladolid 1 , Piano 18min
Atletico Madrid 2 ,A.Corea 57min
,L.Suarez 62 min
 
Back
Top Bottom