Yani humu siku hizi kumejaa watabiri tu

Yani humu siku hizi kumejaa watabiri tu

moodykabwe

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2015
Posts
625
Reaction score
602
Kha kila siku sikuizi ni utabiri tu laza ya jukwaa letu La sport inapungua sana maswala mazito zito ya kisport hatuyaoni



Niwaombe wadau wa jukwaa hili la sport tuliboresheni jukwaa letu tufanye hata siku moja humu kikao cha online humu humu katika jukwaa letu ili Liwe na laza....kwann jukwaa LA siasa linakuwa bora letu lisiwe bora???
 
Jiunge na group la whatsap la betting lenye members zaidi ya watu 130 upate mikeka ya uhakika na ushauri mzuri kuhusu mechi na company za betting. Kujiunga ni bure na ushauri na mikeka yote ni bure. Linki iyo hapo chini.<br /><br /><br /><br />Betting only
 
Back
Top Bottom