Yani Syria imegeuka kuwa dampo la biashara na shughuri haramu za mataifa maana ni ngumu kuwa detected hapo.

Yani Syria imegeuka kuwa dampo la biashara na shughuri haramu za mataifa maana ni ngumu kuwa detected hapo.

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Iran ndipo anapompatia silaha hezbollah

Iran na Russia ndipo waapopeana silaha na usaidizi mwingine

USA ndipo anapopatumia ku-attack adui zake wa middle east

ISIS ndipo wanapouzia artifacts za kiajemi walizoiba iraq na syria.

Turkey ndipo anapo patumia kupaamabana na resistance ya wakurdi.
 
Uzi mzuri, sema ungejazia nyama kwa kuandika kidogo kufafannua kila points yako mifano, vipindi lini hadi lini, thamani ya kila biashara n.k
 
Back
Top Bottom