Yani uchafu waliouondoa UAE eti Ulaya ndio wanao entertain kwa minajili ya liberty na kuwa politically correct

Yani uchafu waliouondoa UAE eti Ulaya ndio wanao entertain kwa minajili ya liberty na kuwa politically correct

Financial Analyst

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2017
Posts
1,849
Reaction score
3,506
Ebu ingia hapo UAE, nchi ya Kiarabu iliotajirika, nchi yenye nguvu kuu yaku-attract asilimia kubwa ya wahamiaji kutoka mataifa ya kiarabu mengine lakini ...

Hakuna grooming gangs
Hakuna rape cults
Hakuna extremist organizations
Hakuna extremist charities
Hakuna extremists on welfare
Hakuna terrorist cells
Hakuna backyard Sharia courts
Hakuna Muslim Brotherhood
Hakuna Hamas
Hakuna ISIS
Hakuna Hezbollah
Hakuna IRGC
Hakuna rioting


Lakini njoo uone sasa ulaya. Leo hii Uingereza analia na ongezeko kubwa la ubakaji wa wasichana wadogo unaofanywa zaidi na wahamiaji kutoka pakistan na mataifa mengine ya Kiarabu.
Screenshot_20250111-082126.png


Tatizo sio kuwa uhamiaji ndio chanzo cha hayo yote, ila ni pale unaposhindwa kudhibiti uhamiaji na kutowaekea mipaka mahsusi inapelekea kuingia kwako kiholela na kinachofatia ni wao kufanya mambo kiholela.
 
Nchi yoyote duniani inayowakaribisha wahuni na magaidi kama raia wa nchi za kiarabu hasa Wasyria, Pakistan, Afghanistan, Iraq, Palestina, Libya na nchi za kiafrika kama Somalia, Sudan zenye misimamo mikali ya dini wanalia sasa hivi, UK na Germany wako kwenye mpango kababe wa kuwarudisha katika nchi zao hao terrorists..!!
 
Ebu ingia hapo UAE, nchi ya Kiarabu iliotajirika, nchi yenye nguvu kuu yaku-attract asilimia kubwa ya wahamiaji kutoka mataifa ya kiarabu mengine lakini ...

Hakuna grooming gangs
Hakuna rape cults
Hakuna extremist organizations
Hakuna extremist charities
Hakuna extremists on welfare
Hakuna terrorist cells
Hakuna backyard Sharia courts
Hakuna Muslim Brotherhood
Hakuna Hamas
Hakuna ISIS
Hakuna Hezbollah
Hakuna IRGC
Hakuna rioting


Lakini njoo uone sasa ulaya. Leo hii Uingereza analia na ongezeko kubwa la ubakaji wa wasichana wadogo unaofanywa zaidi na wahamiaji kutoka pakistan na mataifa mengine ya Kiarabu.
View attachment 3198308

Tatizo sio kuwa uhamiaji ndio chanzo cha hayo yote, ila ni pale unaposhindwa kudhibiti uhamiaji na kutowaekea mipaka mahsusi inapelekea kuingia kwako kiholela na kinachofatia ni wao kufanya mambo kiholela.
Sorry wewe ni Muingereza ?
 
Nchi yoyote duniani inayowakaribisha wahuni na magaidi kama raia wa nchi za kiarabu hasa Wasyria, Pakistan, Afghanistan, Iraq, Palestina, Libya na nchi za kiafrika kama Somalia, Sudan zenye misimamo mikali ya dini wanalia sasa hivi, UK na Germany wako kwenye mpango kababe wa kuwarudisha katika nchi zao hao terrorists..!!
Hakika mkuu
 
Nchi yoyote duniani inayowakaribisha wahuni na magaidi kama raia wa nchi za kiarabu hasa Wasyria, Pakistan, Afghanistan, Iraq, Palestina, Libya na nchi za kiafrika kama Somalia, Sudan zenye misimamo mikali ya dini wanalia sasa hivi, UK na Germany wako kwenye mpango kababe wa kuwarudisha katika nchi zao hao terrorists..!!
Nchi kubwa huwatumia hao uliowataja kufanikisha malengo yao.Ugaidi ni silaha wezeshi ya wamarekani.
 
Ebu ingia hapo UAE, nchi ya Kiarabu iliotajirika, nchi yenye nguvu kuu yaku-attract asilimia kubwa ya wahamiaji kutoka mataifa ya kiarabu mengine lakini ...

Hakuna grooming gangs
Hakuna rape cults
Hakuna extremist organizations
Hakuna extremist charities
Hakuna extremists on welfare
Hakuna terrorist cells
Hakuna backyard Sharia courts
Hakuna Muslim Brotherhood
Hakuna Hamas
Hakuna ISIS
Hakuna Hezbollah
Hakuna IRGC
Hakuna rioting


Lakini njoo uone sasa ulaya. Leo hii Uingereza analia na ongezeko kubwa la ubakaji wa wasichana wadogo unaofanywa zaidi na wahamiaji kutoka pakistan na mataifa mengine ya Kiarabu.
View attachment 3198308

Tatizo sio kuwa uhamiaji ndio chanzo cha hayo yote, ila ni pale unaposhindwa kudhibiti uhamiaji na kutowaekea mipaka mahsusi inapelekea kuingia kwako kiholela na kinachofatia ni wao kufanya mambo kiholela.
Uwezi jua pengine uyu amebaka UK nayy dadake alibakwa kwenye nchi yake sasa hii inaitwa moto kwa moto, akuna kulialia waliyataka wenyewe kwa kuanza kubaka Dada za watu kwenye ktkbzao sio tu kubaka bado wameuwa kizazi kikubwa ktk nchi za watu asa za kislamu!! Moto kwa moto style
 
West wasilalamike ndio matokeo kuvamia nchi za watu na kuharibu nchi zao, wasingeshambulia nchi zao hao raia wahamiaji wangebaki kwao.
 
Nchi yoyote duniani inayowakaribisha wahuni na magaidi kama raia wa nchi za kiarabu hasa Wasyria, Pakistan, Afghanistan, Iraq, Palestina, Libya na nchi za kiafrika kama Somalia, Sudan zenye misimamo mikali ya dini wanalia sasa hivi, UK na Germany wako kwenye mpango kababe wa kuwarudisha katika nchi zao hao terrorists..!!
Zwazwa wewe unajitia mbumbumbu ujui Wanajeshi wa UK wanamakesi kila kona ya ubakaji kenya kuna kesi Tanzania Wanajeshi wawili wa UK walimbaka dadayetu na kumuua ili wasimpe ela yake wakamtupa beach ya msasani ama umesaau walikamattwa lkn kesi ikaisha atujui!!! Uko Iraq Libya syria afghanistan kote uko wemefanya unyama usiomisilika ukiwemo Ubakaji leo ww zwazwa inakuuma kubakwa mdada w UK ao ndio wanyama kaaa pembenii watu wanalipiza unyama wao!!! Moto kwa Moto style
 
Watu 19 wambake binti gereji, uwongo gani huu!?
Wao ndio wameanza kubaka dada za watu tena wamewafata kwenye ichi zao Iraq syria afghanistan Libya na kwengine kenya wanajeshi w UK wanakesi za Ubakaji apa kwetu pia wanajeshi wa UK walibaka dadayetu na kumuua kabisa. Sasa zamu yao Kubakwa moto kwa moto style
 
Ebu ingia hapo UAE, nchi ya Kiarabu iliotajirika, nchi yenye nguvu kuu yaku-attract asilimia kubwa ya wahamiaji kutoka mataifa ya kiarabu mengine lakini ...

Hakuna grooming gangs
Hakuna rape cults
Hakuna extremist organizations
Hakuna extremist charities
Hakuna extremists on welfare
Hakuna terrorist cells
Hakuna backyard Sharia courts
Hakuna Muslim Brotherhood
Hakuna Hamas
Hakuna ISIS
Hakuna Hezbollah
Hakuna IRGC
Hakuna rioting


Lakini njoo uone sasa ulaya. Leo hii Uingereza analia na ongezeko kubwa la ubakaji wa wasichana wadogo unaofanywa zaidi na wahamiaji kutoka pakistan na mataifa mengine ya Kiarabu.
View attachment 3198308

Tatizo sio kuwa uhamiaji ndio chanzo cha hayo yote, ila ni pale unaposhindwa kudhibiti uhamiaji na kutowaekea mipaka mahsusi inapelekea kuingia kwako kiholela na kinachofatia ni wao kufanya mambo kiholela.
Sasa hivi kuna propaganda nyingi tu zinazo endelea huko ziki ongozwa na Bwana Musk, nyingi kwanza ni Uongo, zimethibitishwa ni uongo ila still zinaendelea kusambazwa,

We jiulize Musk Uingereza kunamhusu nini? Yupo busy ana re-tweet page ambazo vyombo vyote vya habari hata ambayo ni pro west vinakubaliana kwamba hizo page zinasambaza misinformation.

Hii ni report official toka Serikali ya Uingereza utafiti umefanyika 2020 ni credible source first party.


Wazungu are far likely ku commit child abuse.
 
Back
Top Bottom