Yani uchafu waliouondoa UAE eti Ulaya ndio wanao entertain kwa minajili ya liberty na kuwa politically correct

Iraq, Iran, Syria na Lebanon, Libya nk ni nchi ambazo zilikuwa zimeendelea sana na usingesikia raia wa kawaida kutoka kwenye hizo nchi eti anakimbilia Ulaya kama sio vita ndani ya nchi hizo.

USA na Ulaya wajaribu kutatua matatizo kwenye nchi za wenzao bila vita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…