Yani unakuta mzigo dukani wa milioni 5, kupamba duka milioni 8, Huduma 0 milioni, Utofauti 0 milioni. Hii ndio hali ya biashara nyingi za kisasa.

Yani unakuta mzigo dukani wa milioni 5, kupamba duka milioni 8, Huduma 0 milioni, Utofauti 0 milioni. Hii ndio hali ya biashara nyingi za kisasa.

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Yani inafika wakati hauna varieties tofauti dukani ila duka lilivyopambwa sasa, mteja akija ana shangaa shangaa tu mataa ila bidhaa hauna. Sasa ndio nini.

Inapelekea hadi wale watu wa kawaida kuogopa kuingia kwa kuhofia bei ni mkasi kwa maana goli lenyewe limekaa kama 5-star hoteli. Kumbe ni mpambanaji zaidi ya mteja.

Alafu ndani unamuweka mdada mmoja ana mashauzi utafikiri baba yake ndio waziri wa biashara na viwanda.

Kinachofatia ni ile kauli "PALIKUWAGA NA DUKA PALE"
 
Mapambo si shida
Shida ni huyo "mdada"🙌🙌🙌
Kuna mahali ilibidi nimuinue kwenye kiti kwa lazima aje kunihudumia yani alikuwa mzito na jeuri sio poa sema ndio pekee wanauza wine bei nafuu ila sijarudi
 
Umegusa mule mule 📌🔨.

Kuna dada alikua na duka la vikoti vya jeanz mitaa flani vikali ila limezungukwa na frame zilizopimpiwa mpaka sio poa. Ilikua kila nikipita nasita kuingia ingawa naziona code zimesimama midoli imetupia lakini nikawa nawaza naweza jikuta nauziwa nguo bei ya smartphone!

Mpaka alipokuja kuhama ile location na kuweka sehem ya kawaida ndio nikaanza kumuungisha.
 
Yani inafika wakati hauna varieties tofauti dukani ila duka lilivyopambwa sasa, mteja akija ana shangaa shangaa tu mataa ila bidhaa hauna. Sasa ndio nini.

Inapelekea hadi wale watu wa kawaida kuogopa kuingia kwa kuhofia bei ni mkasi kwa maana goli lenyewe limekaa kama 5-star hoteli. Kumbe ni mpambanaji zaidi ya mteja.

Alafu ndani unamuweka mdada mmoja ana mashauzi utafikiri baba yake ndio waziri wa biashara na viwanda.

Kinachofatia ni ile kauli "PALIKUWAGA NA DUKA PALE"
Natabiri mada haihusu "duka"
 
Hi nikweli kabisaa,kuna duka unaogopa kuingia,ila kila kitu kina class yake,mi nauza viatu verry simple kabisa,mama mwenye nyumba akaja kubóresha akapiga vikagae pana waka,wateja wangu niwachini wakaaza kuopoga wanajua bei kubwaa
IMG_20240902_124320.jpg
 
Back
Top Bottom