Yanick Bangala atwaa tuzo ya mchezaji Bora wa NBC Premier League 2021/2022

Hivi wale mbumbumbu walio tukejeli kipindi kile kwa kutuambia eti tumesajili wacheza ndombolo ya solo! Ndiyo hawa baadhi yao wanamsifia hapa Yannick Bangala!
Tulia utopolo huyo mchezaji wa kawaida sana na hastahili kuwa mchezaji bora.
 
Nawajua Wachezaji wazuri na Feitoto ni mmoja wao, wewe kaa na chuki zako za kishabiki. Kesho akihamia Simba urudi kumpambapamba.
Cha kushangaza yule digidigi Sakho naye yumo kwenye kikosi bora wakati alikuwa anarukaruka tu kama bisi
 
Hivi wale mbumbumbu walio tukejeli kipindi kile kwa kutuambia eti tumesajili wacheza ndombolo ya solo! Ndiyo hawa baadhi yao wanamsifia hapa Yannick Bangala!
Mkuu tulia hata nyie mlimsema Mayele mwanzoni kabisa kuwa mmepigwaa ila si ndo huyu mnamwona kama Cristiano? Huwezi kuzuia wanaadam kusema tena hasa tukiwa wapinzani hahahahaha
 
Kikosi bora kabisa cha msimu
 

Attachments

  • Screenshot_20220708-144311_Chrome.jpg
    71.2 KB · Views: 6
Mkuu tulia hata nyie mlimsema Mayele mwanzoni kabisa kuwa mmepigwaa ila si ndo huyu mnamwona kama Cristiano? Huwezi kuzuia wanaadam kusema tena hasa tukiwa wapinzani hahahahaha
Yaani mimi nimseme Mayele!! Hakuna kitu kama hicho aisee. Wananchi wote kwa umoja wetu tulimuunga mkono Mayele kuanzia mwanzo. Na huu ndiyo uzalendo wenyewe.
 
Yaani mimi nimseme Mayele!! Hakuna kitu kama hicho aisee. Wananchi wote kwa umoja wetu tulimuunga mkono Mayele kuanzia mwanzo. Na huu ndiyo uzalendo wenyewe.
Wapi weweee sema tuu umesahau wananchi nyie kwa kulalama nani ana waweza?
 
Wapi weweee sema tuu umesahau wananchi nyie kwa kulalama nani ana waweza?
Sisi wananchi ni wazalendo sana kwa wachezaji wetu kuliko nyinyi! Imagine hata Chico Ushindi na madhaifu yake, lakini bado tulimtetea humu! .

Ila kwa upande wenu, mliwasimanga kweli akina Mugalu!
 
Yule tuliyeambiwa kuwa ni daktari wa mpira licha ya kukosa katika wale wanaowania Tuzo, hata kwenye kikosi cha msimu hayupo...!

Khalid Aucho Dr of Football..Nyiee [emoji16]
Udaktari ni huko yaan uanze kuitw daktri kweny mpira aache kuchafua kazi za watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…