Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Kiungo mkongwe Yannick Bangala amevunja mkataba na klabu ya Azam baada ya kupishana na kocha wake Rached Taoussi.
Bangala ambaye aliichezea Yanga misimu miwili kabla ya kutimkia Azam msimu uliopita tangu atimkie kwa matajiri hao wa Chamazi hajawa na rekodi nzuri kulinganisha na timu aliyotokea.
Katika misimu miwili aliyocheza Yanga alifanikiwa kufunga mabao matatu, huku Azam akifunga moja tu msimu uliopita, huku msimu huu akianza na majeraha.
Bangala ambaye aliichezea Yanga misimu miwili kabla ya kutimkia Azam msimu uliopita tangu atimkie kwa matajiri hao wa Chamazi hajawa na rekodi nzuri kulinganisha na timu aliyotokea.
Katika misimu miwili aliyocheza Yanga alifanikiwa kufunga mabao matatu, huku Azam akifunga moja tu msimu uliopita, huku msimu huu akianza na majeraha.