Yao Kouassi Attohoula anaenda kukohoa cross ile jeshi 'oho' 'oho'

Yao Kouassi Attohoula anaenda kukohoa cross ile jeshi 'oho' 'oho'

Mkuu wewe lengo lako lilikua kutukumbushia zile tano huna lingine. Haya tushakumbuka mgoja tuanze kumtukana Mangungu
 
Ukishabikia sana Simba na Yanga kichwani zinapungua Lazima.

KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMERUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....

MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.

MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
 
Ukishabikia sana Simba na Yanga kichwani zinapungua Lazima.

KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMERUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....

MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.

MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
Kwa tafiti za haraka, Shobo ni kufuatilia mambo yasiyomhusu, ukiona jambo unaliongelea sana basi jua unalipenda ila hutaki watu wajue hilo....

Acha Shobo brother
 
Unadhani hata nina Muda wa kukujibu???????

Huwa sipotezi muda kujibishana na Watu wasio na akili.
 
Back
Top Bottom