Wewe unanijua mimi!????,,Nani alikudanganya kwamba humu hatujuwani?
Jamaa anazingua tu, mimi binafsi hakuna hata mmoja ninaejuana nae humu ki uhalisa zaidi ya IDs tunazotumia humu....Kwahiyo unamjua uliyemquote?
Ina maana huko mtaani mnajuwana wote?Jamaa anazingua tu, mimi binafsi hakuna hata mmoja ninaejuana nae humu ki uhalisa zaidi ya IDs tunazotumia humu....
Wewe unawajua wote wa humu JF!?Ina maana huko mtaani mnajuwana wote?
Mbona JF huwa tunafanya party au wewe wa juzi?
Yaaani acha tu mtani, wanakera balaa...akifika hapo anasema ngoja niwahi seat [emoji23] [emoji23] [emoji23] utadhani ni mashindanoMie kinachonikera pale members wa humu wanavyomsakama mtani wangu Joseverest eti anakuwa wa kwanza ku reply kwani ni kosa! halafu mtu akiwahi siti anasema "nimewahi seat ya Joseverest. hahahahhaaahahahha
Yapo mengi kiukweli...Kaka hujamaliza kusemaaa sema yoooote
pole jomoni[emoji23] [emoji23] [emoji23]mimi kinachonikera humu JF ni member kutumia maneno haya,
vepee
jomon
tyu
kwendraaa
ongeza na mengine.
Kumbe huwa wanakukera msela wangu[emoji20]Yaaani acha tu mtani, wanakera balaa...akifika hapo anasema ngoja niwahi seat [emoji23] [emoji23] [emoji23] utadhani ni mashindano
Ndio aisee shededeKumbe huwa wanakukera msela wangu[emoji20]
Verified User✓✓✓✓Kumbe huwa wanakukera msela wangu[emoji20]
Hakika msela wangu pamoja sana.Verified User✓✓✓✓
Fresh sana kiongozi[emoji122] [emoji122]Hakika msela wangu pamoja sana.