Yard gani au kampuni gani waaminifu ambayo naweza kupata gari mpya kwa hapa dar??

Yard gani au kampuni gani waaminifu ambayo naweza kupata gari mpya kwa hapa dar??

deecharity

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2010
Posts
932
Reaction score
506
Msaada wakuu, naomba kuelekezwa yard ambayo nitapata huduma kwa uaminifu, gari ninayohitaji isitoke nje ya spacio new model, runx, carina au raum. Sio wale jamaa ambao wanauza zinashatembea bongo, msaada tafadhari, kifupi iwe iliyotumika Japan.
 
Msaada wakuu, naomba kuelekezwa yard ambayo nitapata huduma kwa uaminifu, gari ninayohitaji isitoke nje ya spacio new model, runx, carina au raum. Sio wale jamaa ambao wanauza zinashatembea bongo, msaada tafadhari, kifupi iwe iliyotumika Japan.
Njoo tufanye biashara nakutolea Dubai safi kbs
 
Hawa Jamaa Binafsi na Mimi nawakubali sana...
Wale wako poa sio sawa na baadhi ya viyard mshenzi vilivyojaa matapeli ambapo unakuta yard ina madalali wezi kibao, halafu gari zimechezewa full kuchokonolewa na still bado unakuta gari zina bei ya juu, halafu kwa mfano unakuta harrier ya cc 3000 imewekwa badge ya cc 2400 so mtu anauziwa gari ambayo ni mafuta jini
 
karibu sana jerry empire tupo pia kariakoo fire njoo ukague gar hata na mafundi 30,then ulipie gari zetu ni affordable mno na quality
 
Back
Top Bottom