deecharity
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 932
- 506
Njoo tufanye biashara nakutolea Dubai safi kbsMsaada wakuu, naomba kuelekezwa yard ambayo nitapata huduma kwa uaminifu, gari ninayohitaji isitoke nje ya spacio new model, runx, carina au raum. Sio wale jamaa ambao wanauza zinashatembea bongo, msaada tafadhari, kifupi iwe iliyotumika Japan.
Unataka gari mpya? Au used?
Agiza, Mbona Rahisi Mno, Au Una Haraka Sana?
Njoo tufanye biashara nakutolea Dubai safi kbs
Agiza only 35 days inakuwa uwani kwakoItachelewa, inatakiwa ndan ya wiki atleast
Kuigiza sio kibali cha kupata perfect ,unaweza kuigiza ukapata iliyo na mapungufuAgiza only 35 days inakuwa uwani kwako
Sawa mkuu Kama ndio hivoItachelewa, inatakiwa ndan ya wiki atleast
In two weeks tyr gar unaenda from DubaiKuigiza sio kibali cha kupata perfect ,unaweza kuigiza ukapata iliyo na mapungufu
Ok,sawa. Kila LA heriKuigiza sio kibali cha kupata perfect ,unaweza kuigiza ukapata iliyo na mapungufu
SureKuigiza sio kibali cha kupata perfect ,unaweza kuigiza ukapata iliyo na mapungufu
Nenda janjapan wanajitahidi sana waasia wale Dar wapoItachelewa, inatakiwa ndan ya wiki atleast
Acha Uongo, Mapungufu Yapo, Ila Wenzetu Ni Wakweli, Gari Inakufikia Unajua Kila Kitu, Hadi Mapungufu Yake , Haya Mayadi Ni Wizi Mtupu, Uongo Mwanzo MwishoKuigiza sio kibali cha kupata perfect ,unaweza kuigiza ukapata iliyo na mapungufu
Hawa Jamaa Binafsi na Mimi nawakubali sana...Nenda janjapan wanajitahidi sana waasia wale Dar wapo
Wale wako poa sio sawa na baadhi ya viyard mshenzi vilivyojaa matapeli ambapo unakuta yard ina madalali wezi kibao, halafu gari zimechezewa full kuchokonolewa na still bado unakuta gari zina bei ya juu, halafu kwa mfano unakuta harrier ya cc 3000 imewekwa badge ya cc 2400 so mtu anauziwa gari ambayo ni mafuta jiniHawa Jamaa Binafsi na Mimi nawakubali sana...