Malaria 21. Badhi ya namba unajibiwa namba unayopiga umekosea chunguza tena, inawezekana ya mumeo au mkeo
2. Ukitaka kuunganisha Yas pesa unaabiwa bad connection or wrong MMI
3. Ukitaka kujiunga band, mtandao unakatika
Kweli huuu mtandao KIBOKO, siku 2 mambo yamekuwa moto moto
Ushafahamu. Na kama ndio wakala wake wapelekee salamHakuna Yas pesa, kuna mixx by Yas.
Mtandao umeshakaa sawaUshafahamu. Na kama ndio wakala wake wapelekee salam
Naam bibi
Mtandao umeshakaa sawa
Unaendeleaje Mjukuu wangu MremboNaam bibi
UliinamaUlikaa upande? Au hoduma mbovu?
Yas= nyash1. Badhi ya namba unajibiwa namba unayopiga umekosea chunguza tena, inawezekana ya mumeo au mkeo
2. Ukitaka kuunganisha Yas pesa unaabiwa bad connection or wrong MMI
3. Ukitaka kujiunga band, mtandao unakatika
Kweli huuu mtandao KIBOKO, siku 2 mambo yamekuwa moto moto
Hawakuwa na muda wa kujiandaa bila kuathiri huduma zake kwa wateja?Wanafanya system upgrade, tuwape muda!
Tatizo lao hawajatoa taharifa, app yao ndo haifunguki kabisa!