KERO YAS sasa wamekuwa kero, nimetuma maombi ya miamala ya miezi SITA iliyopita, nimeishia kupigwa danadana tangu Februari 13

KERO YAS sasa wamekuwa kero, nimetuma maombi ya miamala ya miezi SITA iliyopita, nimeishia kupigwa danadana tangu Februari 13

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Leo hii naandika haya ni tarehe 20 takriban siku saba sasa kila unapowasiliana nao wanakuambia suala lako tunalishughulkia, ndani ya saa 24 usipowatafuta tena ndo inakuwa imeisha hiyo. Ukiwatafuta kesho wanarudia kauli Ile ile. Mwisho nikawaambia kama wameshindwa wanipe pesa yangu online support akatoka online 😆 nasijui hata nifanyeje

IMG_20250220_094728.png
IMG_20250220_094614.png
 
Back
Top Bottom