Yas(tiGO) waomba radhi

Yas(tiGO) waomba radhi

DexterLab

Senior Member
Joined
Oct 17, 2024
Posts
161
Reaction score
193
Hii ni baada ya kukumbwa na hitilafu

IMG_20241128_205708.jpg
 
Wahuni hao, moja ya Data centre yao (jina kapuni) imepiga chini...

Jina kubadilika haina uhusiano wowote na service kuwa chini kwa sababu MNC inaendelea kubaki ile ile ya tiGO/Zantel (hakuna kufanya mobile number table routing upya)...
 
Kuna binti namtongoza kaniomba nimtumie hela kwa mixx by yas sijuelewa ana maana gani ,nimezunguka kwa kila wakala hawaelewi chochote. Hapa narudi home niko hoi 😡
 
Hii mixx by yas kwa kiswahili chake ni nini kwa mfano? Atakua MD alilewa akaleta huu ujinga na wafanyakazi wake waliridhia kwa kupiga makofi, yani waliogopa hata kumkosoa.
Akili zao wanazijua wenyewe, kuna mhubiri alisema "ukienda TTCL unawakuta wafanyakazi wa kike wamevaa mavazi ya heshima kabisa, kinyume chake kiko Tigo, ukienda unavikuta vibinti vimevaa suruali zimebana na kila kiungo kinaonekana kwa umbile lake" hiyo inaonyesha aina na mindset ya MD aliyeko huko, lakini ushahidi mwingine ni zile kaulimbinu zao za kimesimama na cha asubuhi
 
Back
Top Bottom