Wakati unakula mke wa mtu utasikia anakuambia. Hivi unajua mimi sijazoea kabisa mambo haya. Hivi kweli unanifanya namsaliti mume wangu!!!
Kama hujazoea si uache????
halafu wanawake kama hawa ndio huwa wanalazimisha harusi ili wawe na protection, ndoa kitu gani banaView attachment 19380na mwingine atakwambia unajua mm sijawahi kutoka kabisa nje ya ndoa, ww umenidanganya sijui una dawa, bwana wangu kanikuta bikira,
ni kwako tu siwezi tena kutoka nje ya ndoa nakuapia, sidhubutu
Majibu ya mwanaume mwizi: unajua nakuamini sana ww, najua upo serious, hutoki nje ya ndoa ila kwangu tu, unajua hata mm sifuati mwanamke hovyo, ila ww hata sijui imekuwaje, athante thaaaaana, i luv u.
Uongo ndani ya ndoa mbaya, wacheni hii kitu wanandoa
From all these submission, I see guilty conscious(sp) for the womenfolk, please all JF ladies and others who are reading, respect your marriage and the man you said 'I do to '
All this is just 'tamaa' ladies let's be the ones to cut these dirty ties, its very unfortunate when we are 'discovered'....
One love Mhandisi Nsiande
Suala la kujiheshimi ni la mtu binafsi na pale unapojaribu kumshauri mtu ambaye anaona tabia yake ni nzuri kwa matendo anayoyafanya utaonekana mbaya na unamwingilia uhuru wake na zaidi sana utaonekana kama unaingilia maisha yake na hata kukuona wewe kama mshamba wakati ni faida yake.
Mdoe, Munghiki, drphone na jaba-li mkiambiwa hayo maneno nyie huwa mnajibuje?
umesahau na hii... Hv unajua toka nifunge ndoa ww ndo mwnaume wa kwnza knifundisha kutoka nje ya ndoa yng?. Cjui umeniwekea nin mpk nmekukbalia!
umesahau " unajua mume wangu ananiamini sana........."
View attachment 19380na mwingine atakwambia unajua mm sijawahi kutoka kabisa nje ya ndoa, ww umenidanganya sijui una dawa, bwana wangu kanikuta bikira,
ni kwako tu siwezi tena kutoka nje ya ndoa nakuapia, sidhubutu
Majibu ya mwanaume mwizi: unajua nakuamini sana ww, najua upo serious, hutoki nje ya ndoa ila kwangu tu, unajua hata mm sifuati mwanamke hovyo, ila ww hata sijui imekuwaje, athante thaaaaana, i luv u.
Uongo ndani ya ndoa mbaya, wacheni hii kitu wanandoa
kuna wengine wanaomba hiyo iwe mwanzo na mwisho alitereza tu kukupa ila mkitoka tu anakumbushia tena mwenyewe
Mumeo au mkeo akirudi home siku hio akakuambia yafuatayo, ujue umeibiwa: Moja; siku hio anakuonyesha upendo wa ziada, kama vile ndo mmeoana, lakini atajiepusha msi-do, hapo umeliwa: pili; anakusifia mambo ya kazini na kusisitiza amechoka kwa kazi nyingi huku akiikandia kazi yake kua ni ngumu, hapo napo kwa heri; tatu; akirudi maneno mengi hayaishi, stori zenye kutokujiamini kwingi...mmhh umekwisha; SASA ili kumkamata muombe game, lazima whether ni Mume au mke, game itakua nyepesi mno, kutimiza wajibu tu