Yatosha, cheka VS TTCL!

Yatosha, cheka VS TTCL!

mama dunia

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2011
Posts
420
Reaction score
84
Hivi tuwaelewweje nyie wamiliki wa mitandao? hasa AIRTEL ambayo mie nimetumia sijajua CHEKA katika hili!

Ndo nini mnatuambia ukijiunga na kifurushi then unaweza piga mitandao yote kwa hicho kifurushi wakati sivyo!

Nimeshangaa kwakuwa nimejiunga na hicho kifurushi ila ukipiga TTCL tu inakuwa imekula kwako unakatwa kama kawa, ina maana TTCL sio moja ya mitandao au? na kama sio kwanini msiseme basi kuwa TTCL haihusiki (najua hairuhusu ) lakini mtueleweshe kuwa zile simu za mezani haihusiki katika kifurushi, ingawaje TTCL wana simu za mkononi pia....huu ni wizi kabisa maana mtu unajua ndo hela hiyo hiyo kumbe uwongo! mmekuwa mkitutangazia ukijiunga na kifurushi unapiga kooooteee sasa TTCL mbona mnachaji tena...jirekebisheni!
 
nikijiunga YATOSHA huwa napiga mitandao yote na wala sikatwi vocha ya ziada , but sijawahi jaribu kupiga TTCL ebu na wengine waje watoe experience zao.
 
nikijiunga YATOSHA huwa napiga mitandao yote na wala sikatwi vocha ya ziada , but sijawahi jaribu kupiga TTCL ebu na wengine waje watoe experience zao.

TTCL Unakatwa,

Lakini bado YATOSHA ni bonge la offer, inapunguza sana gharama, i wishi wangeweka na bundle la mwezi

12GB
1100 mins talk time
2000 sms
kwa Tsh 24,000 kwa wiki nne. . . ingekua poa sana!
 
Kampuni ya Taifa inahujumiwa na sisi wenyewe!!!
AAahghh....na yenyewe si izinduke!!!! Sio kutulazimisha kununua misimu yao!!!!
 
Back
Top Bottom