Amos David Mathias JF-Expert Member Joined Sep 3, 2022 Posts 1,576 Reaction score 3,094 Feb 8, 2024 #1 Habari kwenu wajenzi wa JF, naweza simamisha mijengo Yenye hii ramani Kwa fedha kiasi gani?
Niache Nteseke JF-Expert Member Joined Apr 29, 2020 Posts 2,162 Reaction score 2,616 Feb 11, 2024 #3 tandabui2021 said: 50M Click to expand... Hiyo pesa ni mpaka kupaua na kuhamia au mpaka kozi tatu za juu mkuu...?
tandabui2021 said: 50M Click to expand... Hiyo pesa ni mpaka kupaua na kuhamia au mpaka kozi tatu za juu mkuu...?
Baba Rhobi JF-Expert Member Joined Nov 4, 2020 Posts 1,611 Reaction score 2,881 Feb 12, 2024 #4 Hiyo ramani ya kwanza nimeona nyumba ya kufanana na hivo ilikua kanisa linajenga kwa ajili ya Mchungaji wake, ilicost 70M pamoja na taa kila kitu isipokua furniture tu.
Hiyo ramani ya kwanza nimeona nyumba ya kufanana na hivo ilikua kanisa linajenga kwa ajili ya Mchungaji wake, ilicost 70M pamoja na taa kila kitu isipokua furniture tu.