YAWEZA KUWA KOSA KWA KUKUTWA NA MBEGU YA BANGI?

YAWEZA KUWA KOSA KWA KUKUTWA NA MBEGU YA BANGI?

Lipijema

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2015
Posts
830
Reaction score
1,223
Nawasalimu, binafsi sijawahi kutumia hiyo kitu tangu nizaliwe na wala sina matarajio ya kutumia hiyo kitu. Hizo mbegu huwa ninasafirisha kutoka sehemu moja hadi nyingine kwa ajili ya matumizi ya kuchanganya na sumu ya kuulia panya, kwa sababu nilielekezwa ya kwamba panya huwa wanakula sana hizo mbegu na hivyo huwa ni vyepesi kuwamaliza na ni kweli nimeona mafanikio mazuri sana, sasa kwa bahati mbaya ikitokea nimekamatwa na hizi mbegu aidha kwenye usafiri au nyumbani kwangu yaweza kuwa so!?
 
Watakukamataje kwani unaziweka machoni au.
Nchi hii hakuna kosa ukielewana na wakubwa wa eneo ulilopo iwe polisi,DC n.k.
 
Watakukamataje kwani unaziweka machoni au.
Nchi hii hakuna kosa ukielewana na wakubwa wa eneo ulilopo iwe polisi,DC n.k.
Sina ukalibu nao kabisa! Siitaji hata kuwasogelea.
 
Back
Top Bottom