Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Sharon Chepkoech (24) alikamatwa siku ya Jumatano, Aprili 10, baada ya kutoroka na mtoto wa miezi miwili na kisha kutuma ujumbe wa simu akimtaka mama wa mtoto ampatie pesa kiasi cha Ksh 10,000
Kwenye ujumbe huo, Sharon alitishia kusafiri na mtoto huyo hadi nchini Malawi iwapo hangepewa pesa alizokuwa akizitaka
Muda mfupi baada ya kukamatwa kwake sharon alihojiwa katika kituo cha Polisi cha Shauri Moyo kabla ya kusafirishwa hadi Kiamumbi mtaani Mwiki
Kwa mujibu wa Mary Ndegwa ambaye ni mama wa mtoto huyo, yaya huyo alikuwa amekaa nao kwa wiki mbili tu, kabla ya jaribio la kutoweka na mwanawe
Maafisa wa polisi, walifanikiwa kumnasa mwanamke huyo kwa kutumia wimbi la mwasiliano kwenye simu aliyokuwa akiitumia.
Kwenye ujumbe huo, Sharon alitishia kusafiri na mtoto huyo hadi nchini Malawi iwapo hangepewa pesa alizokuwa akizitaka
Muda mfupi baada ya kukamatwa kwake sharon alihojiwa katika kituo cha Polisi cha Shauri Moyo kabla ya kusafirishwa hadi Kiamumbi mtaani Mwiki
Kwa mujibu wa Mary Ndegwa ambaye ni mama wa mtoto huyo, yaya huyo alikuwa amekaa nao kwa wiki mbili tu, kabla ya jaribio la kutoweka na mwanawe
Maafisa wa polisi, walifanikiwa kumnasa mwanamke huyo kwa kutumia wimbi la mwasiliano kwenye simu aliyokuwa akiitumia.