Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tutakukumbuka sana,daaahh-nikikumbuka vituko vyako!!!,aiseee tutakukumbuka mno.Wakuu jamii forums leo ndio siku yangu ya mwisho humu nawaaga nitakuwa busy sana masomoni hamtaniona humu jukwaani hadi september 2020.Mlionikosea nawasamehe bure kwa sharti na ninyi mnisamehe bure nilipowakosea
I will miss you all
Itakuwa malipo yamesitishwa au mmezinguana, na sasa umeamua kuanza na ID mpya...Wakuu jamii forums leo ndio siku yangu ya mwisho humu nawaaga nitakuwa busy sana masomoni hamtaniona humu jukwaani hadi september 2020.Mlionikosea nawasamehe bure kwa sharti na ninyi mnisamehe bure nilipowakosea
I will miss you all
Mnaenda kusomea kuwatesa na kuua watanzaniaWakuu jamii forums leo ndio siku yangu ya mwisho humu nawaaga nitakuwa busy sana masomoni hamtaniona humu jukwaani hadi september 2020.Mlionikosea nawasamehe bure kwa sharti na ninyi mnisamehe bure nilipowakosea
I will miss you all
Yaani unaaga JF kama ni mjengo fulani PPF tower hivi? Masomo mema mkuu.Wakuu jamii forums leo ndio siku yangu ya mwisho humu nawaaga nitakuwa busy sana masomoni hamtaniona humu jukwaani hadi september 2020.Mlionikosea nawasamehe bure kwa sharti na ninyi mnisamehe bure nilipowakosea
I will miss you all
Weeeeweeee! Kwani unakoenda Jf haifiki? Nina wasiwasi na kusoma kwako! Au unaenda North Korea?Wakuu jamii forums leo ndio siku yangu ya mwisho humu nawaaga nitakuwa busy sana masomoni hamtaniona humu jukwaani hadi september 2020.Mlionikosea nawasamehe bure kwa sharti na ninyi mnisamehe bure nilipowakosea
I will miss you all
Nenda na huko unakoenda nenda tena hata usiporudi pote la mbali hata ukifia huko ukamwambie nýerere tz yake kwa sasa inashikiliwa na wakimbiziWakuu jamii forums leo ndio siku yangu ya mwisho humu nawaaga nitakuwa busy sana masomoni hamtaniona humu jukwaani hadi september 2020.Mlionikosea nawasamehe bure kwa sharti na ninyi mnisamehe bure nilipowakosea
I will miss you all