Alvajumaa
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 5,039
- 6,253
Kwema?
Yellow Card ni movie moja matata sana iliyotoka mwaka 2000, nyota mkuu katika movie hii ni kijana mtanashati "Leroy Gopal "wa Zimbabwe,
Director wa movie hii ni John Riber, Story ya movie namna ilivyo ni huyu kijana Leroy kua na ndoto za kucheza mpira nje ya mipaka ya nchi yake yaan Zimbabwe,
Tena kipindi hicho kijana alifananishwa na nguli wa soka duniani Ronaldo Luis Nazario de Lima "The phenomenon ", pamoja na kua na ndoto kubwa ya kucheza soka lakini kijana aliendekeza ngono tena akiwa shule kiasi kilichopelekea kumpa mimba binti wa shule,
Binti baada ya kujifungua alimpeleka mtoto kwa mshikaji, basi jamaa akienda mazoenzi anabeba mtoto wake mgongoni anapiga soka...
Movie hii nilipata kuiona kwa jirani yetu mtaan maana peke yake alikua ana Tv , kama kawaida ITV waliwakilisha tena wao walitafsiri kwa kiswahili
Pia kijana alikua na rafiki yake alipenda sana ngono mwisho wa siku alipata magonjwa ya zinaa
Baadhi ya wahusika katika movie hii ni Leroy Gopal "Tiyane Tsumba", Ratidzo Mambo "Linda karombo, Collin Sibangani Dube "skido, ......
Sent using Jamii Forums mobile app
Yellow Card ni movie moja matata sana iliyotoka mwaka 2000, nyota mkuu katika movie hii ni kijana mtanashati "Leroy Gopal "wa Zimbabwe,
Director wa movie hii ni John Riber, Story ya movie namna ilivyo ni huyu kijana Leroy kua na ndoto za kucheza mpira nje ya mipaka ya nchi yake yaan Zimbabwe,
Tena kipindi hicho kijana alifananishwa na nguli wa soka duniani Ronaldo Luis Nazario de Lima "The phenomenon ", pamoja na kua na ndoto kubwa ya kucheza soka lakini kijana aliendekeza ngono tena akiwa shule kiasi kilichopelekea kumpa mimba binti wa shule,
Binti baada ya kujifungua alimpeleka mtoto kwa mshikaji, basi jamaa akienda mazoenzi anabeba mtoto wake mgongoni anapiga soka...
Movie hii nilipata kuiona kwa jirani yetu mtaan maana peke yake alikua ana Tv , kama kawaida ITV waliwakilisha tena wao walitafsiri kwa kiswahili
Pia kijana alikua na rafiki yake alipenda sana ngono mwisho wa siku alipata magonjwa ya zinaa
Baadhi ya wahusika katika movie hii ni Leroy Gopal "Tiyane Tsumba", Ratidzo Mambo "Linda karombo, Collin Sibangani Dube "skido, ......
Sent using Jamii Forums mobile app