Hawa ni CCM B. Wapo kwa ajili ya kusema uchaguzi ulikuwa huru na wa hakiSawa. Ila vip kuhusu ushirikiano.na vyama makini kwa ajili ya kuikomboa mama Tanzania
Kumbukumbu zangu zinaniambia kwa nyakati tofauti.Hawa ni CCM B. Wapo kwa ajili ya kusema uchaguzi ulikuwa huru na wa haki
Weka hizo social media account nifuatilia. Maana kwa heshima ya Marehemu Baba yangu. Nitachagua NCCR Mageuzi. Mzee alikua mnazi wa hiki chama.
Pia leteni CV ya huyu Yeremia Kulwa Mganja
Kwenye CUF mpinzani alikuwa Maalim Seif. Hiyo ni toka enzi za Mapalala. Lipumba huwa siyo mpinzani. ACT inaitwa chama cha upinzani sababu ya team ya Maalim Seif. Kuhusu wengine ndani ya ACT , i am not sure.Kumbukumbu zangu zinaniambia kwa nyakati tofauti.
CUF.
ACT
Waliwahi kuitwa CCM B. Leo ACT anaitwa mfia nchi.
ACT labda Zanzibar huku bara mmmmmh naona walewaleKumbukumbu zangu zinaniambia kwa nyakati tofauti.
CUF.
ACT
Waliwahi kuitwa CCM B. Leo ACT anaitwa mfia nchi.
Vp atavaa Yale ma overall yao? Maana naskia ndio jezi zao