S SANGAPIPI JF-Expert Member Joined Jun 25, 2013 Posts 206 Reaction score 301 Nov 20, 2016 #1 Magwiji wa mitandao nchini Tanzani walishindanishwa katika mtandao wa twita katika kipengele cha anayeandika mambo yakuudhi zaidi Tanzania.... Mwana jf Yericko Nyerere ametangazwa leo mshindi akimwaga Le Baharia
Magwiji wa mitandao nchini Tanzani walishindanishwa katika mtandao wa twita katika kipengele cha anayeandika mambo yakuudhi zaidi Tanzania.... Mwana jf Yericko Nyerere ametangazwa leo mshindi akimwaga Le Baharia
technically JF-Expert Member Joined Jul 3, 2016 Posts 12,706 Reaction score 52,355 Nov 20, 2016 #2 Sawa na ile ya Rais Wa Twitter Tanzania alipewa nani vile ?.....
Bilionea Asigwa JF-Expert Member Joined Sep 21, 2011 Posts 16,515 Reaction score 28,506 Nov 20, 2016 #3 teh teh teh.... hamna zawadi kwa mshindi??
mcubic JF-Expert Member Joined Mar 3, 2011 Posts 10,310 Reaction score 6,544 Nov 20, 2016 #4 Yericko aliwahi kuanzisha tunzo za kiswahili Twitter......mshindi mpaka leo anadai laki mbili zake.
K kulwa MG JF-Expert Member Joined Aug 29, 2016 Posts 1,289 Reaction score 771 Nov 20, 2016 #5 kayericko ni noma kwa kuandika mipasho..hivi ile lak 2 kalishamlipa yule mshindi?naulza tu..