Pre GE2025 Yericko Nyerere ashinda Uchaguzi Kigamboni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

SANGAPIPI

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
206
Reaction score
301
Mdau wa Jamiiforums mwanasiasa na mwandishi bora wa Vitabu Barani Afrika 2023 ambae pia anawania tuzo ya Mwandishi Bora wa Vitabu Barani Afrika kwa 2024, bwana Yericko Nyerere ameibuka kidedea katika Uchaguzi wa Chadema Wilaya ya Kigamboni uliofanyika tarehe 27/7/2024,

Yericko ameshinda nafasi ya Ujumbe wa Mkutano Mkuu Taifa kwa kura 51 kati ya kura 72 huku Mshindani wake Bwana Sultan Ibrahim aliyepata kura 19 kati ya kura 72.

Your browser is not able to display this video.


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…