johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wajumbe wa mkutano mkuu wa Chadema Mh Yeriko na Mh Ntobi wamesema walidhani Tundu Lisu atatoa Amri ya maandamano hadi Makao makuu kuhakikisha Press ya katibu mkuu Mh John Mnyika inafanyika
Ukurasani kwake X Mh Yeriko Nyerere amesema wanasubiri tamko la Chama. Ahsanteni
Ukurasani kwake X Mh Yeriko Nyerere amesema wanasubiri tamko la Chama. Ahsanteni